RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO KWA MKANDARASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iNU8dshtrZE/XveNC9oXkNI/AAAAAAALvr0/lQTPTGQfMy8EDkQ-XUVsv04nXsQnRw7TwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_4367AAA-768x511.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt. Elias Kuandikwa wakishuhudia wakati Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania(TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale na Mwakilishi wa Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group Corporation, Su Jinlan wakitia saini mkataba wa makubaliano kati ya serikali na Kampuni hiyo ya ujenzi wa barabara ya Nanganga -Ruangwa kwa kiwango cha lami yenye urefu wa Kilomita 53.2 kwa gaharama ya Sh. Bilioni 59.28....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona:Rais Magufuli atoa maagizo ndege za kubeba watalii kuingia
5 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO STENDI MPYA YA MABASI DODOMA,AKATAZA WAPIGA DEBE,SUMA JKT KUPIGISHA RAIA VICHURA
RAIS Dk.John Magufuli ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Stendi Kuu ya mabasi ya jijini humo yakiwemo ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo,Mama Lishe, waendesha bodaboda na daladala kufika kituoni hapo bila kusumbuliwa.
Pia ametoa maelekezo ya askari wa Suma JKT wenye tabia ya kupigisha watu vichura kuacha mara moja, kwani hayuko tayari kuona Watanzania waliohuru kwenye nchi wakirushwa vichura na ametumia nafasi hiyo kumwambia Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lJRHJ_ELMbA/VOhaablsH9I/AAAAAAAHE6I/ru4n-3-gc0M/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
DKT. MAGUFULI ATOA MSAADA KWA MAMA MZAZI WA ALBINO ALIYETEKWA NA KUUAWA
Akizungumza kwa masikitiko makubwa jijini Dar es Salaam, Dkt.Magufuli amewataka Watanzania kuishi kwa amani na upendo na kuacha dhana ya kutajirika kutokana na viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino).
“Tukio hili ni la kinyama na halikubaliki popote...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
5 years ago
MichuziJAFO AWAPONGEZA KISARAWE KWA UBUNIFU WA TAMASHA LA MAMA LISHE, ATOA MAAGIZO KWA WAKURUGENZI WOTE
Jafo ametumia nafasi hiyo kuwataka wakurugenzi wa halmashiri zote nchini ambao wataoshindwa kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo ya wanawake, walemavu na vijana watachukuliwa hatua ikiwemo ya kutumbuliwa.
Akizungumza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA MIKOA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cWGXgIKrxlk/XqAIOViBgjI/AAAAAAAC3sQ/eHfmOWOg6fAhbWlI1Ynoeu261ewlozY0ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa.
Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatano April 22, 2020 akiwa kwenye Maombezi ya kuombea Taifa dhidi ya ugonjwa huu yanayofanyika katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar
“Wiki hii waumini wa kiislamu wanaanza mfungo wa Ramadhan hivyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wjbtdxVX4bg/XsVvcdsDh7I/AAAAAAALrA0/Yw09tRyYGzgcR41GYjSGSgsob8sXKZR2ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0036.jpg)
DC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0020.jpg)
DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0020.jpg)
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...