MBUNGE WA CCM AZZA HILAL ATOA MSAADA WA NGAO ZA USO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA KUJIKINGA NA CORONA
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) ametoa msaada wa Ngao za Uso ‘ Face Shields’ 60 zenye thamani ya shilingi 240,000/= kwa ajili ya watoa huduma za afya katika vituo vyote mkoani Shinyanga vilivyotengwa kwa ajili ya kuhudumia watu waenye maambukizi ya Virusi vya Corona.
Mhe. Azza amekabidhi Ngao hizo za uso leo Ijumaa Mei 8,2020 wakati akikabidhi gari la kubebea Wagonjwa ‘ Ambulance’ lililotolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL ATOA MSAADA WA VITI NA NGAO ZA USO 'FACE SHIELDS' KUKABILIANA NA COVID 19 KWA WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) ametoa msaada wa Viti kwa ajili ya Ofisi ya Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa...
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA ALIZOWAKATIA WAZEE KITUO CHA BUSANDA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga,Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi kadi za Bima ya afya iliyoboreshwa (ICHF) alizowakatia wazee 17 waliopo kituo cha kulelea Wazee cha Busanda kilichopo halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili wapate huduma za afya bila usumbufu.
Mhe. Azza amekabidhi kadi hizo za bima ya afya leo Ijumaa Mei 8,2020 alizoahidi kuwalipia alipofika katika kituo hicho Oktoba 5,2019 akiwa ameambatana Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kusherehekea Siku ya...
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
5 years ago
MichuziDOCTORS WITH AFRICA YATOA ELIMU YA CORONA KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII SHINYANGA
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr. Yudas Ndungile akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya namna ya utoaji wa elimu na kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Na Damian Masyenene - Shinyanga Press Club Blog
JUMLA ya watoa huduma za Afya ngazi ya jamii 109 kutoka Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyangawamepewa mafunzo na mbinu mbalimbali za namna ya kukabiliana na homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Mafunzo hayo yametolewa kwa watoa huduma hao 53 kutoka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JoL_OHySIU8/XpmctUeKLyI/AAAAAAALnPE/jxcMe6P3SXMo2L8JW8tbHPN0kwTIUGA_gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200417-114235_1587113051819.png)
MBUNGE JUMAA AUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUTOA MSAADA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JoL_OHySIU8/XpmctUeKLyI/AAAAAAALnPE/jxcMe6P3SXMo2L8JW8tbHPN0kwTIUGA_gCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200417-114235_1587113051819.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ctH1abdBvEo/XpmctFhtojI/AAAAAAALnPA/E7zy-WB8ghglZDw_r4sRKxVtRATo3nXTQCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200417-114918_1587113403210%2B%25281%2529.png)
Ndoo hizo pamoja na sabuni zimekabidhiwa katika Kituo cha Afya cha Mlandizi ili zisambazwe kwenye vituo vya Afya, Zahanati zote ,kwa wafanya biashara sokoni pamoja Standi ili kupambana na homa ya Corona.
Jumaa aliwataka wananchi wa...
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA WAPEWA MAFUNZO NAMNA YA KUHUDUMIA WASHUKIWA NA WAGONJWA WA CORONA
Jumla ya watoa huduma za afya 56 kutoka kwenye vituo vya afya vya umma na watu binafsi wilaya ya Shinyanga na Kishapu wamepatiwa mafunzo ya namna ya kutoa matibabu kwa washukiwa na wagonjwa watakaobainika kuwa na Maambukizi ya Virusi vya Corona (COVID 19).
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa ufadhili wa Shirika la Lifewater International yamefanyika leo Jumatatu Mei 4,2020 katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga.
Afisa Afya Mkoa wa Shinyanga Neema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oDiOuaGxb2M/Xr2PYDr9pRI/AAAAAAALqR4/4DtKAWRuWRUMGkK8AhpTPRHFKkVdl2B7ACLcBGAsYHQ/s72-c/f5314237-78f6-454a-8680-7f30a2082329-768x512.jpg)
MUNANTHA MED WATOA ELIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA WAFUGAJI
Munanta Med pamoja na kutoa elimu hiyo kwenye masoko na minada pia, maofisa watendaji na wenyeviti wa vijiji, viongozi wa kimila, waganga wa jadi na wakunga wamepatiwa mafunzo ya kupambana...
5 years ago
MichuziODO UMMY FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA TAASISI ZA DINI JIJINI TANGA
MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kulia akizungumza wakati akishukuru Taasisi ya Odo Ummy Foundation kwa msaada ndoo 120 na sabuni 60 ikiwemo vifaa vyake vya
kuwekea ndoo hizo ili kuwawezesha kuzitumia katika kuhakikisha wanajikinga na
maambukizi hayo ambayo kwa sasa yamekuwa yakilitikisha dunia katikati
ni Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga
Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga kulia akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias...