HOFU YA UGONJWA WA EBOLA YATANDA MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-67hXbysGUho/VEnMH3nMgxI/AAAAAAAAI0A/spTupbQRmqQ/s72-c/Zahanati%2Byafungwa%2Bkwa%2Bhofu%2Bya%2BEbola(1).jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini.
WAKAZI wa kata ya Shirimatunda katika maanispaa ya Moshi, wameingiwa na hofu ya kupoteza maisha yao,kufuatia taarifa za kuwapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola anayehudumiwa katika zahanati ya kata hiyo.
Kutokana na hofu hiyo,halmashauri ya manispaa ya Moshi imelazimika kuifunga kwa muda usiojulikana zahanati hiyo na kuwahamishia wagonjwa katika hospitali nyingine ikiwamo ya St Joseph katika manispaa hiyo.
Ripota wetu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Hofu ya Ebola yatanda nchini
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.
Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Ebola: Hofu yatanda Afrika Mashariki
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Hofu yatanda kuhusu Ebola Nigeria
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Hofu Ukawa kuvunjika yatanda
MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia, amewataka viongozi na wanachama wa umoja huo kuheshimu makubaliano yaliyomo kwenye mwongozo waliotiliana saini mwaka jana.
Mbatia alitoa angalizo hilo baada ya kuwepo kwa viashiria kwa baadhi ya vyama ndani ya umoja huo kwenda kinyume na walichokubaliana hasa kuachiana majimbo kwa wagombea wabunge na udiwani.
Wiki hii kumekuwapo taarifa katika baadhi ya majimbo kwamba kuna vyama ndani ya Ukawa vimeweka wagombea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oM0sMrsP7-v0okXqveHDSRleljE2CN1QIPnXMrCFComGycSaum2n4H1jYxeMSrdoLQtAcXc51Sez6rGDzq2OJnJ/BOMU.jpg)
MABOMU ZENJI, HOFU YATANDA
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Hofu ya mapigano yatanda Kilwa
Na Bakari Kimwanga, Aliyekuwa Kilwa
HOFU ya mapigano kati ya wakulima na wafugaji imetanda wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni uvamizi unaofanywa na wafugaji kwa kuingiza mifugo yao mashambani na kuharibu vyanzo vya maji.
Hatua hiyo inatokana na wafugaji waliopewa eneo la malisho kushindwa kuandaa malambo kwa ajili ya kunyweshea mifugo yao.
Wakizungumza na timu ya waandishi wa habari wa za mazingira waliokwenda katika Kijiji cha Hoteli Tatu, kwa ajili ya...
10 years ago
Mwananchi21 May
Hofu ya mabomu yatanda Njombe
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s2tjgbAWja0/VePcbDSzvLI/AAAAAAAAUWA/YeQHlv2TfV4/s72-c/DSCF0002%2B%25281280x960%2529.jpg)
CHADEMA MOSHI MJINI WATANGAZA ILANI YA UCHAGUZI YA JIMBO LA MOSHI MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2tjgbAWja0/VePcbDSzvLI/AAAAAAAAUWA/YeQHlv2TfV4/s640/DSCF0002%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DNyvk5M7mzo/VePcomE12qI/AAAAAAAAUWU/5LvpjLa6tkA/s640/DSCF0020%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TaxfzPIEZnw/VePcbozdk9I/AAAAAAAAUWM/xXU53OsWa9E/s640/DSCF0008%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BEHMerDtb7o/VePcaS2HAKI/AAAAAAAAUV8/zEKEu2J4cH8/s640/DSCF0011%2B%25281280x960%2529.jpg)
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Hofu ya volcano yatanda Mlima Meru
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
WAKAZI wa Jiji la Arusha jana walikumbwa na hofu kubwa, baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa ni volcano kulipuka Mlima Meru.
Hali hiyo ilisababisha wingu zito la vumbi kutanda angani huku wakazi wa vijiji vinavyozunguka mlima wakikimbia maeneo yao. Wingu hilo lililotanda angani lilianza kuonekana saa 9 alasiri upande wa Kaskazini mwa Mlima Meru kisha kuendelea kusambaa hadi juu ya kilele cha mlima huo.
MTANZANIA lilishuhudia vumbi hilo likielekea upande wa Kaskazini mwa...