Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOFU YA UGONJWA WA EBOLA YATANDA MJINI MOSHI

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini.
WAKAZI wa kata ya Shirimatunda katika maanispaa ya Moshi, wameingiwa na hofu ya kupoteza maisha yao,kufuatia taarifa za kuwapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola anayehudumiwa katika zahanati ya kata hiyo.

Kutokana na hofu hiyo,halmashauri ya manispaa ya Moshi imelazimika kuifunga kwa muda usiojulikana zahanati hiyo na kuwahamishia wagonjwa katika hospitali nyingine ikiwamo ya St Joseph katika manispaa hiyo.


Ripota wetu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Hofu ya Ebola yatanda nchini

20150810_182328NA EDITHA KARLO, KIGOMA

RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.

Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola: Hofu yatanda Afrika Mashariki

Mataifa ya Afrika Mashariki sasa yanapanga mikakati ya kuzuia Ebola kuenea katika ukanda huu baada ya Ebola kuzuka DR Congo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hofu yatanda kuhusu Ebola Nigeria

Wasiwasi umezuka katika mji wa Calabar, kaskazini mwa Nigeria baada ya mtu mmoja kufariki baada ya kuonyesha dalili zinazokaribia za ugonjwa wa Ebola.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Hofu Ukawa kuvunjika yatanda

MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia, amewataka viongozi na wanachama wa umoja huo kuheshimu makubaliano yaliyomo kwenye mwongozo waliotiliana saini mwaka jana.

Mbatia alitoa angalizo hilo baada ya kuwepo kwa viashiria kwa baadhi ya vyama ndani ya umoja huo kwenda kinyume na walichokubaliana hasa kuachiana majimbo kwa wagombea wabunge na udiwani.

Wiki hii kumekuwapo taarifa katika baadhi ya majimbo kwamba kuna vyama ndani ya Ukawa vimeweka wagombea...

 

11 years ago

GPL

MABOMU ZENJI, HOFU YATANDA

Stori: Mwandishi Wetu, Zanzibar HOFU kubwa kubwa imetanda kwa wananchi wa Zanzibar kufuatia kulipuka kwa bomu lililosababisha kifo cha mtu mmoja hivi karibuni katika eneo la Stone Town, Dajarani mjini humo. Mtoto mdogo ambaye amejeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea maeneo ya Stone Town, Dajarani huko Zanzibar. Tukio hilo ni la pili kwa mwaka huu, baada ya Februari mabomu mawili yaliyotengenezwa kienyeji… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Hofu ya mapigano yatanda Kilwa

20130419_095310Na Bakari Kimwanga, Aliyekuwa Kilwa

HOFU ya mapigano kati ya wakulima na wafugaji imetanda wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni uvamizi unaofanywa na wafugaji kwa kuingiza mifugo yao mashambani na kuharibu  vyanzo vya maji.

Hatua hiyo inatokana na wafugaji waliopewa eneo la malisho kushindwa kuandaa malambo kwa ajili ya kunyweshea mifugo yao.

Wakizungumza na timu ya waandishi wa habari wa za mazingira waliokwenda katika Kijiji cha Hoteli Tatu, kwa ajili ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Hofu ya mabomu yatanda Njombe

Njombe. Wakazi wa Mji wa Njombe, jana walikumbwa na taharuki kutokana na mabomu ya machozi yaliyopigwa na Polisi kwa lengo la kutawanya waandamanaji waliokuwa wanapinga mauaji ya mkazi mmoja anayedaiwa kupigwa risasi na askari na mwingine kujeruhiwa.

 

9 years ago

Vijimambo

CHADEMA MOSHI MJINI WATANGAZA ILANI YA UCHAGUZI YA JIMBO LA MOSHI MJINI.

Meneja Kampeni wa mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini kupitia Chadema na UKAWA,Jafary Michael ,Bw Raymond Mboya akifanya utamburisho mbele ya wanahabari wa mkutano wa mgombea huyo na wanahabari uliofanyika katika Hotel ya Keys.Waandishi wa Habari mkoa wa Kilimanjaro ambao ni wawakilishi wa vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakiwa katika kikao na mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini kupitia Chadema na UKAWA,Jafary Michael.
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini aliyemaliza muda wake ,Philemoni...

 

9 years ago

Mtanzania

Hofu ya volcano yatanda Mlima Meru

IMG-20150920-WA0013NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

WAKAZI wa Jiji la Arusha jana walikumbwa na hofu kubwa, baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa ni volcano kulipuka Mlima Meru.

Hali hiyo ilisababisha wingu zito la vumbi kutanda angani huku wakazi wa vijiji vinavyozunguka mlima wakikimbia maeneo yao. Wingu hilo lililotanda angani lilianza kuonekana saa 9 alasiri upande wa Kaskazini mwa Mlima Meru kisha kuendelea kusambaa hadi juu ya kilele cha mlima huo.

MTANZANIA lilishuhudia vumbi hilo likielekea upande wa Kaskazini mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani