Majambazi yatikisa Zanzibar
Na Mwadishi Wetu, Zanzibar
MAJAMBAZI yametikisa viunga vya Mtaa wa Darajani kisiwani Zanzibar na kusimamisha shughuli za biashara wakati polisi walipowakimbiza na kuamua kutumia risasi za moto.
Tukio hilo lilitokea jana saa nane mchana na kusababisha watu wawili kujeruhiwa na watatu kupoteza fahamu kutokana na vishindo vya risasi na mabomu wakati majambazi hayo yalipotaka kutoroka.
Taarifa zaidi zinasema gari ya majambazi hayo iliwagonga wanawake wawili baada ya kuingia kwa kasi katika eneo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, YATIWA MBARONI
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
Majambazi yatikisa katikati ya jiji la Dar leo mchana yatiwa mbaroni
Picha ya 1-2 ni mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne.
Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.
Watuhumiwa hao wanne wa ujambazi wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi.
Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa...
10 years ago
VijimamboMAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO MCHANA YATIWA MBARONI
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZ......MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR LEO MCHANA, YATIWA NGUVUNI NA JESHI LA POLISI
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Majambazi waliokamatwa Zanzibar wafariki dunia
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OKh1S7vn6W0/U0a1xcRtOSI/AAAAAAAFZu4/cbt3iW5l8FU/s72-c/unnamed+(21).jpg)
majambazi watatu kati ya wanne wadakwa zanzibar
10 years ago
VijimamboPOLISI WAWAOKOA MAJAMBAZI WALIONUSURIKA KIFO ZANZIBAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v4UzlONJ-XWWSAyec1H*se8iwOEOJHHZi9gjU8FluudMdOxjniAQSvrGuumJrKxznx9DmJ5bXYH2cqA0abD6xJK/IMG20150123WA0023.jpg)
MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKIJARIBU KUWAKIMBIA POLISI DARAJANI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ffeB6-HM68M/VXK3LPzaGnI/AAAAAAAAPDE/y4mfWV9AINE/s72-c/11287223_957148714319149_1082941561_n.jpg)
CHADEMA YATIKISA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffeB6-HM68M/VXK3LPzaGnI/AAAAAAAAPDE/y4mfWV9AINE/s640/11287223_957148714319149_1082941561_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vXBvKUW6B1A/VXK3N_6krGI/AAAAAAAAPDU/aZrIb2vvaE4/s640/11287426_957148724319148_1226527036_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VGlSb0QeynQ/VXK5GG5vSkI/AAAAAAAAPD4/9zSfUqYHvaI/s640/11357252_386915751497727_3608413603589319620_o.jpg)