Majambazi waliokamatwa Zanzibar wafariki dunia
Watuhumiwa wawili wa ujambazi waliokamatwa Zanzibar juzi na kupigwa na wananchi na askari wa Kikosi cha Kupambana na Ujambazi, wamefariki dunia wakati wakiwahishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja, Zanzibar kwa matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia dunia ghafla
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Watatu wafariki dunia Pwani
MKAZI wa Kijiji cha Msolwa, wilayani Bagamoyo, Doto Paul (30), amekufa kwa kuteketea kwa moto uliotokana na radi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema jana kuwa tukio...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Watatu wafariki dunia Dar
WATU watatu wamefariki dunia jana jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwamo la mmoja kujinyonga kwa kutumia mtandio. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa...
11 years ago
Mwananchi15 May
Tisa wafariki dunia, 10 wajeruhiwa
10 years ago
Habarileo20 Nov
Waandishi wa New Habari wafariki dunia
MHARIRI Mwandamizi wa Kampuni ya New Habari Corporation, Innocent Munyuku amefariki dunia usiku wa kuamkia jana akiwa usingizini nyumbani kwake Kimara jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Wanahabari wawili wafariki dunia
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Watatu wafariki dunia D’Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WATU watatu wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti likiwamo la mtoto Jackline Lubaka (5), kufariki baada ya ukuta kumdondokea.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 11 jioni wakati Lubaka alipokuwa akicheza na wenzake pembezoni mwa nyumba wanayoishi ghafla alidondokewa na ukuta na kufariki dunia papo hapo.
Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uchakavu wa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Wanne wafariki dunia Dar
WATU wanne wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Akielezea matukio hayo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema mfanyakazi wa GEPF, Philemon Nelson...
10 years ago
Mwananchi21 May
Wakimbizi 40 wa Burundi wafariki dunia