Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia dunia ghafla

Mikoani. Mgombea uenyekiti kupitia CCM Mtaa wa Swea, Kata ya Mkolani, Nyamagana, Mwanza, Pius Mihayo amefariki dunia ghafla akiwa mtaani kwake, muda mfupi baada ya kupiga kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia ghafla

Askari wakiwataka wananchi kutawanyika baada ya kuahirishwa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika kituo cha Mabibo Mpakani Mtaa wa Jitegemee, Dar es Salaam jana. Picha na Salim ShaoMikoani. Mgombea uenyekiti kupitia CCM Mtaa wa Swea, Kata ya Mkolani, Nyamagana, Mwanza, Pius Mihayo amefariki dunia ghafla akiwa mtaani kwake, muda mfupi baada ya kupiga kura.Msimamizi wa uchaguzi huo, Halifa Hida alisema mgombea huyo alifariki dunia ghafla akiwa kwenye mtaa wake wa Swea na chanzo cha kifo hicho...

 

11 years ago

Mwananchi

RC Mara afariki dunia ghafla

>Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla kutoka kwenye kiti alichoketi wakati akishiriki Kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Tarime.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Paroko Kanisa Katoliki afariki dunia ghafla

BAADHI ya waamini wa Kanisa Katoliki la Bikira Maria wa Fatma mjini Geita, wameshitushwa na taarifa za kifo cha Paroko wa Parokia ya Geita, Padri Henry Kimisha aliyefariki dunia ghafla...

 

11 years ago

GPL

YULE MTOTO ALIYETESEKA AFARIKI DUNIA GHAFLA

Mtoto Suleiman Rajab enzi za uhai wake. Na Imelda Mtema
MASKINI! Yule mtoto Suleiman Rajab aliyeteseka muda mrefu akisumbuliwa na uvimbe mkubwa mguuni huku mamia ya Watanzania wakijitolea kuchanga fedha kwa ajili ya matibabu nchini India amefariki dunia ghafla nyumbani kwao Ukonga-Kivule, Dar. Akizungumza kwa masikitiko makubwa baada ya kifo hicho, baba mzazi wa marehemu, Rajab Upinde alisema kwamba mtoto wake huyo hakuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea udiwani Kata ya Uyole CCM afariki ghafla

Chama cha Mapinduzi Jimbo la Mbeya Mjini kimepata pigo baada ya mgombea wake wa Kata ya Uyole,  Kambi Njela kufariki dunia ghafla.

 

11 years ago

Mtanzania

Watatu wafariki dunia D’Salaam

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

WATU watatu wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti likiwamo la mtoto Jackline Lubaka (5), kufariki baada ya ukuta kumdondokea.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 11 jioni wakati Lubaka alipokuwa akicheza na wenzake pembezoni mwa nyumba wanayoishi ghafla alidondokewa na ukuta na kufariki dunia papo hapo.

Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uchakavu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanne wafariki dunia Dar

WATU wanne wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Akielezea matukio hayo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema mfanyakazi wa GEPF, Philemon Nelson...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanahabari wawili wafariki dunia

Tasnia ya habari imepata simanzi baada ya waandishi wawili wa habari, Innocent Munyuku na Baraka Karashani kufariki dunia jana jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Tisa wafariki dunia, 10 wajeruhiwa

Watu tisa wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster kugonga lori la mizigo aina ya Fiat, Iveco, lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa Barabara ya Mwanza - Musoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani