POLISI WAWAOKOA MAJAMBAZI WALIONUSURIKA KIFO ZANZIBAR
Mmmoja watuhumiwa wa ujambazi katika maeneo ya darajani akiwa chini ya ulinzi wa Polisi akiwa katika gari waliokuwa kulitumia kwa ujambazi huo.aina ya
Mtuhumiwa wa ujambazi akiwa ndani ya gari ya Polisi baada ya kupata kipigo kutoka kwa Wananchi wenye hasira wakati wakiwa katika harakati za kutaka kukimbia jirani na skuli ya darajani baada ya kutelekeza gari waliokuwa wakiitumia aina ya Noah.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v4UzlONJ-XWWSAyec1H*se8iwOEOJHHZi9gjU8FluudMdOxjniAQSvrGuumJrKxznx9DmJ5bXYH2cqA0abD6xJK/IMG20150123WA0023.jpg)
MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKIJARIBU KUWAKIMBIA POLISI DARAJANI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
11 years ago
Habarileo04 Mar
Majambazi yaua polisi hotelini
ASKARI Polisi, Mohamed Mjomba (44) amepoteza maisha baada ya kushambuliwa na majambazi, waliovamia Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Uroa Wilaya ya Kati Unguja.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*SEzG3DDbDzUy0RbtNV*AmFsg**R9XawG6NbbT*uuQ9NztxUoCv0C8gCs6CgNJ3EzGxQnwyR6hYj0X74Z4-t4J/polisi.jpg)
UNDANI POLISI ALIYEUAWA NA MAJAMBAZI
11 years ago
Habarileo30 Apr
Majambazi yaua Polisi wawili
ASKARI Polisi wawili kutoka Tarafa ya Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan Kaganda, alisema mauaji hayo yamefanyika juzi saa 2: 30 usiku katika kijiji cha Usoke wilayani Urambo.
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Majambazi yatikisa Zanzibar
Na Mwadishi Wetu, Zanzibar
MAJAMBAZI yametikisa viunga vya Mtaa wa Darajani kisiwani Zanzibar na kusimamisha shughuli za biashara wakati polisi walipowakimbiza na kuamua kutumia risasi za moto.
Tukio hilo lilitokea jana saa nane mchana na kusababisha watu wawili kujeruhiwa na watatu kupoteza fahamu kutokana na vishindo vya risasi na mabomu wakati majambazi hayo yalipotaka kutoroka.
Taarifa zaidi zinasema gari ya majambazi hayo iliwagonga wanawake wawili baada ya kuingia kwa kasi katika eneo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf0esgbb5PE/VTZIX0Vl3II/AAAAAAAAgAk/MU6YjYt-IWQ/s72-c/2.jpg)
MAJAMBAZI WANASWA NA JESHI LA POLISI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf0esgbb5PE/VTZIX0Vl3II/AAAAAAAAgAk/MU6YjYt-IWQ/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-babicy_5ZKg/VTZIYtLlQSI/AAAAAAAAgAo/v37Kxj-8Jbs/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SgGWc4iJ_0A/VTZIYtOw3YI/AAAAAAAAgAs/YbCzTWqZ0D8/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NcOrYZ-TmV0/VTZIX4G6-xI/AAAAAAAAgAg/NZUqjGwifNU/s1600/1.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Polisi Dar waua, wakamata majambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi wawili na kuwakamata wanane katika harakati za kupambana na uhalifu wa kutumia silaha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Majambazi yavamia, yaua polisi kituoni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mangu-22Jan2015.jpg)
Matukio ya kuvamia, kuteka, kuwaua askari na kupora silaha katika vituo vya polisi, yameanza kushamiri nchini, hali inayoashiria hatari iliyopo kwa wananchi kwani sasa majambazi yameanza kuvigeuza vituo hivyo kuwa eneo la kujipatia silaha.
Katika kipindi cha miezi saba sasa kuanzia Juni, mwaka jana hadi Januari, mwaka huu,...