Vigogo CCM Arusha watimkia Chadema
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Mkoa huo, Isack Joseph, wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Ole Nangole na Joseph walifikia uamuzi huo jijini hapa jana na kusema kwa nyakati tofauti wamelazimika kuchukua uamuzi huo kwa kuwa utaratibu wa kumpata mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulikiukwa.
Kwa mujibu wa wana CCM hao, wakati wa mchakato...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi09 Aug
NANGOLE NA KADOGOO WA CCM ARUSHA, WATIMKIA CHADEMA
Uamuzi huo ulifanyika jana jijini Arusha katika moja ya hotel maarufu ambapo viongozi hao walipata wasaa wa kupokelewa na uongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha...
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gQnfxOicahE/XoiolVvnyPI/AAAAAAABnCA/V0W6x-fe8F4g8a1lDWO24plYQa4luco2gCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bchadema%252Btarime.jpg)
KIGOGO WA CHADEMA NA WENZAKE 50 WATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-gQnfxOicahE/XoiolVvnyPI/AAAAAAABnCA/V0W6x-fe8F4g8a1lDWO24plYQa4luco2gCLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bchadema%252Btarime.jpg)
Joseph na wenzake wamejiunga na CCM leo Jumamosi Aprili 4, 2020 katika ofisi za chama hicho Tarime na kupokelewa na naibu waziri wa Tamisemi, Mwita Waitara.
Wilaya ya Tarime ina majimbo mawili yanayoongozwa na Chadema ambayo ni Tarime Mjini linaloongozwa na Esther Matiko na Tarime Vijijini...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0361.jpg)
VIONGOZI WA CHADEMA GAIRO, MIKUMI WATIMKIA CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2CNX1ZoCdaBA8Yc1*qYQ9-LQSF79AsIeivmjkTGveCSfJpdhfNsu0HuE**SjC7-AvnYQ8ePwGvuRCcBe2o4mvv/008.jpg?width=650)
USHINDI WA CHADEMA SUMBAWANGA, VIGOGO CCM TUMBO JOTO
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
WanaCCM Mbeya watimkia CHADEMA
WANACCM zaidi ya 60 katika Kijiji cha Jojo, Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini, wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Kujiunga kwa wanachama hao CHADEMA, kumemtia hofu mtendaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-05ifBrNUTlQ/VEpc3x-b-AI/AAAAAAAGtK4/PZ89O9_XfSU/s72-c/PIX5...jpg)
CHIKAWE AIBOMOA NGOME YA CHADEMA NACHINGWEA,VIGOGO, WANACHAMA WAO WARUDI KWA KISHINDO CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-05ifBrNUTlQ/VEpc3x-b-AI/AAAAAAAGtK4/PZ89O9_XfSU/s1600/PIX5...jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Wanachama CCM watimkia ACT- Wazalendo
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s72-c/mahanga.jpg)
VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!
![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s640/mahanga.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JK8_ea4R1nY/VcCohO9eJDI/AAAAAAAB9a4/so3FBhqstUg/s640/msindai.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iqEOWk9lHZI/VcCojj0IJBI/AAAAAAAB9bA/GOogNt3Sido/s640/olemedeyi.jpg)