USHINDI WA CHADEMA SUMBAWANGA, VIGOGO CCM TUMBO JOTO
![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2CNX1ZoCdaBA8Yc1*qYQ9-LQSF79AsIeivmjkTGveCSfJpdhfNsu0HuE**SjC7-AvnYQ8ePwGvuRCcBe2o4mvv/008.jpg?width=650)
John Mnyika. Stori: MWANDISHI WETU Kufuatia ushindi wa kishindo walioupata Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika uchaguzi wa marudio wa serikali za mitaa uliofanyika wiki hii katika kata tatu za Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya mkoa na taifa, wanadaiwa kuhaha huku na kule ili kujua chanzo cha kushindwa huko. Kwa mujibu wa chanzo chetu, ushindi huo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Vigogo CCM Arusha watimkia Chadema
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Mkoa huo, Isack Joseph, wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Ole Nangole na Joseph walifikia uamuzi huo jijini hapa jana na kusema kwa nyakati tofauti wamelazimika kuchukua uamuzi huo kwa kuwa utaratibu wa kumpata mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulikiukwa.
Kwa mujibu wa wana CCM hao, wakati wa mchakato...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Upinzani wamweka tumbo joto Mwakyembe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BYFBgNpMDMR6lygGhW8*DK7W3XpV4i6XBnyf8i0uI2K8RJGkaMVcmfor8LQUr9JkaCi5abVpR5tv7NUjJ91AJkPToMz-80Jl/UEFA5.jpg?width=650)
FAINALI ULAYA, BARCELONA, JUVENTUS TUMBO JOTO
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Mosha wa CCM apongeza ushindi wa Chadema Moshi
10 years ago
Vijimambo17 Apr
BAADA YA KUTANGAZA KUACHIA NGAZI KWA KOCHA BORUSSIA DORTMUND WENGER TUMBO JOTO
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/11/2798B5F900000578-0-image-m-3_1429179545614.jpg)
JURGEN KLOPP
Jurgen Klopp kocha wa Borussia Dortmund ametangaza kuachia ngazi kuifundisha timu hiyo ya Ujerman, Jurgen mwenye umri wa miaka 47 amekuwa kocha wa Borussia kwa miaka saba na kuiwezesha kutwaa ubigwa wa Bundesliga mara mbili na pia kuiwezesha timu hiyo kuingia fainali za Club bingwa Ulaya mara moja. Jurgen katangaza nia hiyo ya kuachana na timu hiyo baada ya ligi kumalizika na anatamani kufundisha moja ya timu za ligi ya Barclay Premier League na baada ya kusikia hivyo kocha wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-05ifBrNUTlQ/VEpc3x-b-AI/AAAAAAAGtK4/PZ89O9_XfSU/s72-c/PIX5...jpg)
CHIKAWE AIBOMOA NGOME YA CHADEMA NACHINGWEA,VIGOGO, WANACHAMA WAO WARUDI KWA KISHINDO CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-05ifBrNUTlQ/VEpc3x-b-AI/AAAAAAAGtK4/PZ89O9_XfSU/s1600/PIX5...jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s72-c/mahanga.jpg)
VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!
![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s640/mahanga.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JK8_ea4R1nY/VcCohO9eJDI/AAAAAAAB9a4/so3FBhqstUg/s640/msindai.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iqEOWk9lHZI/VcCojj0IJBI/AAAAAAAB9bA/GOogNt3Sido/s640/olemedeyi.jpg)
9 years ago
VijimamboSIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.
BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM