FAINALI ULAYA, BARCELONA, JUVENTUS TUMBO JOTO
![](http://api.ning.com:80/files/BYFBgNpMDMR6lygGhW8*DK7W3XpV4i6XBnyf8i0uI2K8RJGkaMVcmfor8LQUr9JkaCi5abVpR5tv7NUjJ91AJkPToMz-80Jl/UEFA5.jpg?width=650)
Straika wa Barcelona, Lionel Messi akionekana mwenye tabasam wakati wa mazoezi na timu yake jana jioni kuelekea fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Barecelona na Juventus. Neymar Jnr katika mazoezi na timu yake, Neymar atakuwa atacheza mchezo wa kwanza wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Fainali:Barcelona kumenyana na Juventus
Mshambuliaji wa Barcelona raia wa Brazil Neymar anaamini kwamba urafiki wake na Lionel Messi na mshambuliaji Luis Suarez ndio sababu ya mafanikio makubwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7Pn7M1OGSkAGoIGPDhViaKxIy9GPczHEqR6bYwnUTRseCl96Fv5ghKyc7sbpoA23-WmW2PCaoKlzeBDvjGAe7nR/11196281_857746947606789_5942769308394402141_n.jpg?width=750)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s72-c/A%2B1.jpg)
TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s640/A%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zvv8zqEqEiw/VVQkZFXEmvI/AAAAAAAA9RQ/WsW49dSq26s/s640/A%2B6.jpg)
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1.
![](http://3.bp.blogspot.com/--526uyMMmdw/VVQkX8kN2lI/AAAAAAAA9Q8/P-X5PEqM-qQ/s640/A%2B2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMkGQy9WfXDysevQ2y7akbuNfjG0783xdxMOqtPyhINsKb2jy5TWNs4edCojxVuUdHExGkrp8wkVP2jM8cLEV7CD/1.jpg?width=650)
MAN U, BARCELONA ROBO FAINALI ULAYA
MANCHESTER, England Moyes bana, asema: Man U itakuwa bingwa wa Ulaya
KITENDO cha Robin van Persie, kufunga mabao matatu ‘hat trick’ katika mechi dhidi ya Olympiacos, siyo tu kimempa sifa straika huyo ila kuna mengi nyuma ya pazia ambayo ameweza kuyafunika ndani ya dakika 90 za mechi hiyo ya juzi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Robin van Persie akishangilia moja ya bao lake aliloifungia timu yake katika mechi dhidi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5rOKh5yrOt0UzDyFtBdLhuDD3VUcD9T0lpg1QatryTQkQQfiV7jOH*JQJiMD0dn0SNroNTzq1SMcZwkD4wjfdtJFegxST27k/1.jpg?width=650)
BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
Neymar, Luis Suarez na Lionel Messi wakishangilia bao. BARCELONA imefanikiwa kufuzu hatua ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kufungwa mabao 3-2 na Bayern Munich usiku huu jijini Munich nchini Ujerumani. Thomas Muller akiifungia Bayern bao la tatu usiku huu. Barcelona imefuzu kwa jumla ya mabao 5-3 baada ya kupata ushindi wa 3-0 katika mechi yao ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Bayern huko Hispania.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5taR-vX16HtUx*Sm*OJgt6AZFKnsfD6MXG*YgyY3Gaxo4Zpv6V4R5OI0r7Qzbj5yd9vrisYD8IwLvRxpzNbpjm/FCBarcelonavsParisSaintGermain21April2015UEFAChampionsLeagueQuarterFinalsWallpaper800x450.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK7oejnYCIEw9GYAqjOeafJ-3ZIbpWf0HY3qvs1yCVzExcAbSf1e2YJc44oLDcp*bNzMzlK9PRUMpkWd6WTO5f3a/barca.jpg)
BARCELONA, PSG ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
Lionel Messi akishangilia na wachezaji wenzake wa Barcelona baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 67. Pablo Zabaleta wa Man City akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi ya pili ya njano.…
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xuurRi7yWz8/VVLVMVbQK1I/AAAAAAAA9I8/v68gm4rZISs/s72-c/AD%2B1.jpg)
FC BARCELONA YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KWA JUMLA YA MABAO 5-3
![](http://4.bp.blogspot.com/-xuurRi7yWz8/VVLVMVbQK1I/AAAAAAAA9I8/v68gm4rZISs/s640/AD%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v_cZztIk9b4/VVLVMzL8GPI/AAAAAAAA9JA/Lwi0k5pFE4Y/s640/AD%2B2.jpg)
Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena uliofurika mashabiki wenye pumzi ya kushangilia bila kuchoka, Bayern waliokuwa na kibarua cha kuifunga Barcelona mabao 4-0 ili wasonge mbele hatua ya fainali, walijikuta wakimaliza dakika 90 za mchezo huo wakiwa na ushindi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1fWluSiRBwZV9WcBR6CAo7qL-sEKDmn2zvfrJIuQK4Vj1h-lUMLqCgL*O97MWYwrZzWGhXpc655WqBqP1U4B-*/USHINDI.jpg?width=650)
BAYERN MUNICH, BARCELONA ZATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao dhidi FC Porto jana. Neymar (juu) akishangilia na Mbrazil mwenzake Dani Alves baada ya kufunga bao la pili jana. Robert Lewandowski akiifungia Bayern bao la tatu dakika ya 27.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania