Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA YAPATA PIGO JIJI LA MBEYA


  Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri  ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu Februari 24, 2020.
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema Arusha yapata pigo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata pigo baada ya mapingamizi yake 155 kwa wagombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jiji la Arusha kutupwa.

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.

Wananchi, Wafanyabiashara, Wanasiasa na Wanafunzi wa Jiji la Mbeya waitikia wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli kufanya Usafi katika Maeneo Mbalimbali ya Jiji la Mbeya kama waonekanavyo hapo na zifuatazo hapo chini ni Taswira Mbalimbali za Jinsi hali ya Mambo ilivyo kuwa katika baadhi ya Maeneo ya Jiji la Mbeya. Mitaa Mbalimbali ya Jiji la Mbeya imepokea vyema wito wa Rais wa Awamu ya Tano juu ya agizo la kufanya Usafi Nchi  nzima kwa siku hii ya leoBOFYA...

 

9 years ago

Michuzi

JIJI LA MBEYA LAPATA MEYA MPYA DAVID MWASILINDI (CHADEMA) DIWANI KATA YA NZOVWE

Meya Mteule wa jiji la Mbeya Diwani wa Kata ya Nzovwe(CHADEMA) Ndugu David Mwasilindi ambaye aliibuka kidedea kwa kupata kura 34 dhidi ya Mpinzani wake wa CCM aliyepata kura 14 katika uchaguzi uliofanyika Desemba 10 katika ukumbi wa Mkapa jijini humo. Katibu Tawala Wilaya ya Mbeya Ndugu Quip Mbeyela ambaye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti katika Kikao cha Baraza la Madiwani ambacho kiliketi kufanya uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji hilo pamoja na Naibu Meya katika Halmashauri ya jiji la Mbeya . 

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAPATA PIGO

Marehemu Robert Ridochi Tilya enzi za uhai wake. WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, watayarishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa na Championi, wamepata pigo kwa kuondokewa na mfanyakazi mwenzao, Robert Ridochi Tilya aliyefariki alfajiri ya leo kwa ajali ya gari. Robert alipata ajali hiyo maeneo ya External-Ubungo jijini Dar baada ya Lori kumbana na gari aina ya Toyota Noah alilokuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Arsenal yapata pigo jingine jipya

hi-res-72691e3dd61baaaaecea47125f14ebee_crop_north

Klabu ya Arsenal itamkosa kiungo wake wa kati Santi Cazorla hadi Machi mwakani, meneja wake, Arsene Wenger ameleeza.

hi-res-72691e3dd61baaaaecea47125f14ebee_crop_north

Mchezaji huyo anayechezea timu ya taifa ya Hispania, aliumia goti wakati wa mchezo kati ya Arsenal na Norwich ulioisha kwa sare ya 1-1. Klabu hiyo tayari ina majeruhi kiungo wao mwingine wa kati Francis Coquelin atakayekaa nje miezi mitatu baada ya kuumia goti.

Beki wa kati Laurent Koscielny na mshambuliaji Theo Walcott wameshapona majeraha yao na watarejea uwanjani.

Alexis...

 

10 years ago

BBCSwahili

Usalama Kenya:Serikali yapata pigo.

Serikali ya Kenya imeshindwa katika jaribio lake la kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu sheria mpya ya usalama iliozua tetesi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raheem Sterling:Liverpool yapata pigo

Kilabu ya Liverpool imepata pigo baada ya mshambuliaji nyota Raheem Sterling kukataa kuanzisha mazungumzo juu ya mkataba mpya

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapata pigo kuumia kwa Walcott

Mshambuliaji wa Arsenal Theo Walcott kukosa mechi zijazo

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapata pigo, nani ataimba kama Komba?

>Mbunge wa Mbinga Magharibi na mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji la CCM, Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni mstaafu John Komba (61), amefariki dunia jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani