JIJI LA MBEYA LAPATA MEYA MPYA DAVID MWASILINDI (CHADEMA) DIWANI KATA YA NZOVWE
Meya Mteule wa jiji la Mbeya Diwani wa Kata ya Nzovwe(CHADEMA) Ndugu David Mwasilindi ambaye aliibuka kidedea kwa kupata kura 34 dhidi ya Mpinzani wake wa CCM aliyepata kura 14 katika uchaguzi uliofanyika Desemba 10 katika ukumbi wa Mkapa jijini humo.
Katibu Tawala Wilaya ya Mbeya Ndugu Quip Mbeyela ambaye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti katika Kikao cha Baraza la Madiwani ambacho kiliketi kufanya uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji hilo pamoja na Naibu Meya katika Halmashauri ya jiji la Mbeya .
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Meya atwangana ngumi na diwani CHADEMA
OFISI za Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza, jana ziligeuka uwanja wa masumbwi baada ya Mstahiki Meya, Henry Matata na madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuchapana...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Meya Jiji la Mbeya matatani
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema linafanya uchunguzi wa kina ili kubaini endapo Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga, alihusika kwenye tuhuma zinazowakabili vijana wawili waliomtaja kuwa aliwatuma...
10 years ago
Habarileo09 Sep
Baraza la Wazee Chadema lapata Mwenyekiti mpya
SAFU mpya ya Baraza la Wazee Taifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imetangazwa ambayo Mwenyekiti wake ni mkazi wa Zanzibar, Hashim Juma Issa.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-50w3ZwM6Mv8/VeErptPTN4I/AAAAAAAC-L8/F3RAVeRU4TY/s72-c/_MG_7722.jpg)
MAGUFULI AMJULIA HALI NA KUMPA POLE MEYA WA JIJI LA MBEYA MH ATHANAS KAPINGA BAADA YA KUPATA AJALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-50w3ZwM6Mv8/VeErptPTN4I/AAAAAAAC-L8/F3RAVeRU4TY/s640/_MG_7722.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-buKP4HAkcM0/VeErpdi_IRI/AAAAAAAC-L4/lsNfQRC2C6I/s640/_MG_7734.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCTxHTAywqk/XlO5LOBiC4I/AAAAAAACzUQ/IFj5bF-CqVsieIxdRNY45NxALi5_wWgCgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
CHADEMA YAPATA PIGO JIJI LA MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCTxHTAywqk/XlO5LOBiC4I/AAAAAAACzUQ/IFj5bF-CqVsieIxdRNY45NxALi5_wWgCgCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu Februari 24, 2020.
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa serikali za mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-glYEsG9dUoM/ViPJ27foXCI/AAAAAAAAbfQ/rkIZeDImlxw/s72-c/OTH_6156.jpg)
LOWASSA AWEKA KAMBI MBEYA, AUNGURUMA VIWANJA VYA RWANDA-,NZOVWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-glYEsG9dUoM/ViPJ27foXCI/AAAAAAAAbfQ/rkIZeDImlxw/s640/OTH_6156.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SydmWXoXvbQ/ViPJxHhjDQI/AAAAAAAAbfI/J2I9MCYf6N8/s640/OTH_6174.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4EvVajv5D78/ViPKvz1e3PI/AAAAAAAAbfY/B8tpjkwlMeY/s640/OTH_6357.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-agyIQQxTAOM/ViPK5FaCXfI/AAAAAAAAbfg/4OS-z6gSE4g/s640/OTH_6350.jpg)
10 years ago
VijimamboMAMIA WAHUDHURIA KATIKA MAZISHI YA MPENDWA WETU MAREHEMU MAMA ESTHER S. MWAIPASI NZOVWE MBEYA.
Mume wa Marehemu Esther Mwaipasi akiwa katika Majonzi