Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMIA WAHUDHURIA KATIKA MAZISHI YA MPENDWA WETU MAREHEMU MAMA ESTHER S. MWAIPASI NZOVWE MBEYA.

Marehemu Esther S. Mwaipasi enzi za Uhai wake Mwili wa Marehemu ukiwa unaingia nyumbani  Ndugu wa karibu wakiwa wanaomboleza kwa majonzi kifo cha Marehemu Esther S. Mwaipasi Baadhi ya Ndugu wa karibu wa Marehemu na waombolezaji wakiwa tayari kwa kuanza Misa ya kumuombea Marehemu Mchungaji Dkt. Nzowa akiendesha Ibada ya Kumuombea na kumuaga Marehemu Esther S. Mwaipasi

Mume wa Marehemu Esther Mwaipasi akiwa katika Majonzi 
 Baadhi ya watoto wa Marehemu Mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt. Gwamaka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAZISHI YA MPENDWA WETU NI KESHO JUMAPILI MAKABURI YA KINONDONI

Carol Mbilinyi enzi ya uhai wake
KWA WENZANGU WANA PAZI,  DADA YETU CARO MWAISELAGE MBILINYI ANAZIKWA KESHO TAREHE 9 MARCH 2014  SAATISA MCHANA KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM. KABLA YA HAPO SHUGHULI ZA MISA ZITAFANYIKA KANISA LA KILUTHERIL  UKONGA.
 TUJITAHIDI KUMSINDIKIZA DADA  YETU KWENYE SAFARI YAKE YA MWISHO.
KWA TAARIFA ZAIDI TUNAWEZA KUMPIGIA SIMU KAKA YAKE DR. JULIUS MWAISELAGE KWENYE NO. 255754764412 , MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV

Familia ya Bwana Shariff na Bi Jamila inapenda kuwataarifu juu ya KISOMO cha kumaliza msiba wa mpendwa marehemu Mama yao Bi Aziza S.Bororo kitakachofanyika siku ya Jumamosi 01/10/15 nyumbani kwao kuanzia saa nane na nusu (2.30pm) Adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Tafadhali ukipata taarifa hii mjulishe mwenzako .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA MAMA YAO MZAZI WA WANAHABARI DOTTO, KULWA NA NICO MWAIBALE KATIKA KIJIJI CHA KIBUMBE RUNGWE MBEYA.

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wakeMwili wa Marehemu Twitikege Mlagha Mafumu ukiifadhiwa katika nyumba yake ya Milele katika  kijiji cha Kibumbe,Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya leo Ndugu wa Marehemu wakiwa katika majonzi  Wanahabari wakiwa katika Msiba huo Picha na Tukio kamili Baadae Na Mbeya yetu

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MAREHEMU IDDI PANDU HASSAN,ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nnne kulia) akiwepo na Rais Mstaafu wa Zanzibar DK.Amani Abeid Karume wakijumuika na waisalmu katika kumswalia Marehemu aliyekua Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Iddi Pandu Hassan katika Msikiti wa Mchekeni Magomeni Mjini Zanzibar leo na Kuzikwa kijijini kwao Makunduchi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya...

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MPENDWA WETU SEBASTIAN MGIMBA WAPUMZISHWA KWA AMANI KATIKA MAKABURI YA KINONDONI

 Ndugu wa Marehemu Sebastian Mgimba Philipo Mgimba (katikati) akiwa amebeba msalaba huku pembeni ndugu mwingine akiwa pamoja na picha ya marehemu wakati wa misa fupi ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar Es Salaam leo.Dada wa Marehemu Sebastian Mgimba, Mariam akiwa na ndugu zake wakati wa sala ya mazishi iliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni leo Rafiki wa Marehemu akiweka udongo kwenye kaburi la Marehemu Sebastian Mgimba mara baada ya sala fupi ya mazishi...

 

11 years ago

GPL

MAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA MZEE MAKAMBA‏

 Mzee Yusufu Makamba akishauriana jambo na mwanae January Makamba wkati wa shughuli za mazishi zikiendelea. Mzee Yusufu Makamba amefiwa na mama yake mzazi aliyefahamika kama Mariam Masau Kivugo  kilichotokea tarehe 21 January 2014.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich arap Moi: Maelfu ya Wakenya na viongozi tofauti wahudhuria ibada ya mazishi katika uwanja wa Nyayo Nairobi

Maelfu ya Wakenya kutoka maeneo mbali mbali wamehudhuria ibada maalum ya kumuaga rais mstaafu Daniel Toroitich arap Moi katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, leo Desemba 6, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua  wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani