MWILI WA MPENDWA WETU SEBASTIAN MGIMBA WAPUMZISHWA KWA AMANI KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
Ndugu wa Marehemu Sebastian Mgimba Philipo Mgimba (katikati) akiwa amebeba msalaba huku pembeni ndugu mwingine akiwa pamoja na picha ya marehemu wakati wa misa fupi ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar Es Salaam leo.
Dada wa Marehemu Sebastian Mgimba, Mariam akiwa na ndugu zake wakati wa sala ya mazishi iliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni leo
Rafiki wa Marehemu akiweka udongo kwenye kaburi la Marehemu Sebastian Mgimba mara baada ya sala fupi ya mazishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboUPDATES YA MSIBA WA NDG SEBASTINA MGIMBA : MWILI WA MAREHEMU SEBASTIAN MGIMBA WAWASILI NCHINI JANA, MAZIKO KUFANYIKA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
UPDATES ya msiba wa Ndg Sebastina Mgimba: Mwili wa marehemu wawasili nchini leo, maziko kufanyika kesho katika makaburi ya Kinondoni
![IMG_7879](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_7879.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAZISHI YA MPENDWA WETU NI KESHO JUMAPILI MAKABURI YA KINONDONI
KWA WENZANGU WANA PAZI, DADA YETU CARO MWAISELAGE MBILINYI ANAZIKWA KESHO TAREHE 9 MARCH 2014 SAATISA MCHANA KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM. KABLA YA HAPO SHUGHULI ZA MISA ZITAFANYIKA KANISA LA KILUTHERIL UKONGA.
TUJITAHIDI KUMSINDIKIZA DADA YETU KWENYE SAFARI YAKE YA MWISHO.
KWA TAARIFA ZAIDI TUNAWEZA KUMPIGIA SIMU KAKA YAKE DR. JULIUS MWAISELAGE KWENYE NO. 255754764412 , MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8knlF-BCWDw/VWqdp0Rua3I/AAAAAAAAgmQ/Mii9ZK7z2-M/s72-c/20150529_155841_resized.jpg)
Tangazo la Msiba wa Ndg Sebastian Lukas Mgimba
![](http://1.bp.blogspot.com/-8knlF-BCWDw/VWqdp0Rua3I/AAAAAAAAgmQ/Mii9ZK7z2-M/s640/20150529_155841_resized.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sOr1Q5yTQXs/VZn2dCo18bI/AAAAAAADwvQ/Eu-aj-KhTu0/s72-c/1afac67fca3237d4d34a4432c8542400.jpg)
MPENDWA WETU EMMANUEL ELISA NYITI MWILI WAKE APUMZISHWA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE NYUMBANI KWAO KILUVYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sOr1Q5yTQXs/VZn2dCo18bI/AAAAAAADwvQ/Eu-aj-KhTu0/s640/1afac67fca3237d4d34a4432c8542400.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N8q5mmRi2Do/VZn2e9yZRZI/AAAAAAADwvc/yEDPElhVVdk/s640/3e98e5200209b976c92ff34ab56a30ef.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oH-yOYIozc/VZn2eTBjxSI/AAAAAAADwvY/7b9XqNjprPE/s640/6081eeb54b4e2a414b005b932d884721.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8knlF-BCWDw/VWqdp0Rua3I/AAAAAAAAgmQ/Mii9ZK7z2-M/s72-c/20150529_155841_resized.jpg)
TANGAZO LA MSIBA WA NDG SEBASTIAN LUKAS MGIMBA WA SINZA KUMEKUCHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8knlF-BCWDw/VWqdp0Rua3I/AAAAAAAAgmQ/Mii9ZK7z2-M/s640/20150529_155841_resized.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1bkPDB_KvE/VHQyeRafhzI/AAAAAAAAdCE/ZCaV7BZj8dU/s72-c/IMG-20141124-WA0001.jpg)
TANGAZO LA MSIBA KUTOKA FAMILIA YA NDG SEBASTIAN MGIMBA WA DAR ES SALAAM - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1bkPDB_KvE/VHQyeRafhzI/AAAAAAAAdCE/ZCaV7BZj8dU/s1600/IMG-20141124-WA0001.jpg)
2Timotheo 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza Imani nimeilinda.
Familia ya Ndugu Sebastian Mgimba inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Mathew Sebastian Mgimba kilichotokea Nchini Malaysia tarehe 20/11/2014.
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili leo tarehe 25/11/2014 na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Sinza Kumekucha.Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi - Amina
10 years ago
VijimamboMAMIA WAHUDHURIA KATIKA MAZISHI YA MPENDWA WETU MAREHEMU MAMA ESTHER S. MWAIPASI NZOVWE MBEYA.
Mume wa Marehemu Esther Mwaipasi akiwa katika Majonzi
11 years ago
CloudsFM29 May
RECHO HAULE KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
Mwili wa aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo,Rachel Haule ambaye alifariki dunia mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kujifungua ambapo mtoto wake alifariki muda mfupi na baadaye yeye akafariki,utaagwa leo katika viwanja vya Leaders kuanzia saa nne asubuhi sanjari na mwili wa mtoto wake na kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni,