RECHO HAULE KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
Mwili wa aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo,Rachel Haule ambaye alifariki dunia mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kujifungua ambapo mtoto wake alifariki muda mfupi na baadaye yeye akafariki,utaagwa leo katika viwanja vya Leaders kuanzia saa nne asubuhi sanjari na mwili wa mtoto wake na kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni,
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAZISHI YA RECHO HAULE YALIVYOFANYIKA MAKABURI YA KINONDONI DAR
10 years ago
MichuziJAJI ANTONY BAHATI KUZIKWA LEO MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lwx0yL657Lw/U4Bdp0qrbQI/AAAAAAAA61Q/Lyl7I4wG4OA/s72-c/Marehemu+Simon+Malosha.jpg)
MAREHEMU SIJAONA SIMON KUZIKWA KESHO MEI 25, 2015 MAKABURI YA KINONDONI, DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-lwx0yL657Lw/U4Bdp0qrbQI/AAAAAAAA61Q/Lyl7I4wG4OA/s1600/Marehemu+Simon+Malosha.jpg)
Mazishi yatafanyika jumapili tarehe 25/5/2014 saa tisa mchana katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam. Misa ya kumuaga marehemu na kutoa heshima za mwisho, itafanyika kwa Marehemu Sijaona magorofa ya Urafiki block QA.
Taarifa ziwafikie kaka yake mkubwa William Lukuba wa Nyakato...
11 years ago
Michuzi08 Mar
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
UPDATES ya msiba wa Ndg Sebastina Mgimba: Mwili wa marehemu wawasili nchini leo, maziko kufanyika kesho katika makaburi ya Kinondoni
![IMG_7879](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_7879.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Oct
YP kuzikwa leo makaburi ya Chang’ombe
10 years ago
CloudsFM10 Nov
AMIGOLAS KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
Amigolas amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa. Mwimbaji huyu ambaye hadi anafariki, alikuwa mtumishi wa bendi ya Ruvu Stars inayomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Amigo alilazwa Muhimbili...
10 years ago
GPLSHEM KARENGA KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
CloudsFM23 Feb
Mez B kuzikwa leo kwenye makaburi ya Wahanga,Dodoma
ALIYEKUWA memba wa kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ ambaye alifariki Ijumaa iliyopita mjini Dodoma anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Wahanga yaliopo Maili Mbili mjini Dodoma.
Mama Mzazi wa aliyekuwa Msanii wa Kizazi Kipya Marehemu Mez B ameelezea Sababu ya Kifo cha Mez B kwamba ni Ugonjwa wa Pneumonia ambao ulikuwa unamumbua siku nyingi.
Katika Taarifa ya Mama Mzazi wa Mez B amesema kuwa Mez B alilazwa na Kuruhusiwa Mara Kadhaa katika Hospitali ya Mwananchi Dodoma na...