MAZISHI YA RECHO HAULE YALIVYOFANYIKA MAKABURI YA KINONDONI DAR
Mwenyekiti wa Bongo Muvi Steven Nyerere akiweka shada la maua katika kaburi. Ndugu wa marehemu wakiweka mashada.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM29 May
RECHO HAULE KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
Mwili wa aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo,Rachel Haule ambaye alifariki dunia mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kujifungua ambapo mtoto wake alifariki muda mfupi na baadaye yeye akafariki,utaagwa leo katika viwanja vya Leaders kuanzia saa nne asubuhi sanjari na mwili wa mtoto wake na kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni,
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6JzVNLunY1bfZKJ14o6jHTu*WErKU8EvuHmzOTtnGPChb9cG2UcTDdzomK6co-OIXuxlZcgQA6eIyQ2rsHtz9B-/IMG20140529WA0100.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Gl34cnVlKZQ/default.jpg)
mazishi ya faith catherine Gondwe makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam
11 years ago
Michuzi08 Mar
9 years ago
VijimamboMAZISHI YA DADA, MAMA, BIBI BETTISHEBA KETANG'ENYI MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s72-c/FILE0057.jpg)
mamia washiriki mazishi ya mke wa john kitime kwenye makaburi ya kinondoni,jijini dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xUJTJk2Qmyg/VOH12ofge7I/AAAAAAAHD_Q/eNkTCoymoXE/s1600/FILE0057.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ze2nRfJZsdA/VOH125Q8g0I/AAAAAAAHD_U/Av26QS6-Itc/s1600/FILE0059.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oE9BMpLnV1A/VOH18209QUI/AAAAAAAHD_w/WeYpnvtV8ks/s1600/IMG_20150216_153949.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAZISHI YA MPENDWA WETU NI KESHO JUMAPILI MAKABURI YA KINONDONI
KWA WENZANGU WANA PAZI, DADA YETU CARO MWAISELAGE MBILINYI ANAZIKWA KESHO TAREHE 9 MARCH 2014 SAATISA MCHANA KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM. KABLA YA HAPO SHUGHULI ZA MISA ZITAFANYIKA KANISA LA KILUTHERIL UKONGA.
TUJITAHIDI KUMSINDIKIZA DADA YETU KWENYE SAFARI YAKE YA MWISHO.
KWA TAARIFA ZAIDI TUNAWEZA KUMPIGIA SIMU KAKA YAKE DR. JULIUS MWAISELAGE KWENYE NO. 255754764412 , MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s72-c/s.jpg)
RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s400/s.jpg)
NA. MUDA TUKIO MHUSIKA MAHALI 1. 12:00 - 02:00 Familia kuandaa Mwili wa Marehemu Familia Nyumbani 2. 02:00 - 04:00 Taratibu za Kimila Familia Nyumbani 3. 04:00 - 05:00 Chai/Chakula Familia Nyumbani 4. 04:00 - 05:00 § Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee Katibu wa Bunge Karimjee
§ Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7Ncw1UE9CfhLubsaRzOcOBGDRYHAIPzBSjzDepHwD8YREH4dvUxqlfLWm79qtv5QR0XzXjUcKMip*VwjaM2LeCo/KITIME8.jpg?width=600)
MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR