Mwenyekiti ACT auawa na viungo vyake kupikwa nyama
MWENYEKITI wa kitongoji cha Songambele katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi kupitia chama cha ACT, Richald Madirisha (31) ameuawa kwa kuchinjwa na kiwiliwili chake kutenganishwa akituhumiwa kunyang’anya mke wa mtu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jlmIGxG1Nuo/VMYAiQbcr1I/AAAAAAAAnJ0/9updcQY8OUk/s72-c/act.png)
ACT Walia Kiongozi wao Kuuawa......Ni yule Aliyechinjwa Kinyama na Kupikwa kwenye Sufuria kama Nyama ya Kuku
![](http://3.bp.blogspot.com/-jlmIGxG1Nuo/VMYAiQbcr1I/AAAAAAAAnJ0/9updcQY8OUk/s1600/act.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yILHIeEOAcQzEobCVeJ6g51e0G3hUb5n8zE56m36xB08eC21Gs9NPf*B02AnpvREo1eMRAhuRFiTIEWjhJJ20BD/1ALBINO2.jpg?width=650)
ALBINO AUAWA, ACHUKULIWA VIUNGO VYAKE HUKO SIMIYU
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Mwenyekiti auawa, viungo vyapikwa kama mboga
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Wf9XuUVLrE0/VMTezqPHc9I/AAAAAAADWY4/zSfT42UNWxk/s72-c/unyama%2Bpicha%2B(1).jpg)
Mwenyekiti auawa, viungo vyapikwa kama mboga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wf9XuUVLrE0/VMTezqPHc9I/AAAAAAADWY4/zSfT42UNWxk/s1600/unyama%2Bpicha%2B(1).jpg)
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Askari JWTZ auawa, anyofolewa viungo
Na Shomari Binda, Musoma
ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 27 Makoko kilichopo Musoma, Praiveti Wilfred Koko amekutwa ameuawa na kuondolewa sehemu ya viungo vya mwili katika eneo la kikosi hicho.
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoani Mara ilisema askari huyo MT-78227, aliokotwa katika eneo la jeshi Januari 30, mwaka huu saa sita mchana mwili wake ukiwa hauna baadhi ya viungo ukiweamo mguu wa kulia, viganja vya mikono yote na sehemu za siri.
Kaimu Kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi14 May
Albino auawa, wauaji watoweka na viungo
9 years ago
Habarileo06 Nov
Auawa, anyofolewa viungo kwa imani za kishirikina
WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Katavi akiwemo mkazi wa kijiji cha Mgasa, Tarafa ya Kabungu wilayani Mpanda, Chiza Lamaeck (23) kuuawa kikatili kwa kunyofolewa viungo vyake vya mwili zikiwemo sehemu zake za siri kwa imani za kishirikina.
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Auawa kwa kula kitoweo cha nyama India
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmUnoMgE0qTJZDdoHMCCuXnin5EY2OCfVJ3USs8fmUPW4ZJk84Wax3qgA5nOjglJHRzFkHV2B9vBic-xzFPdfnr/ZittoKabweACTLeader3.jpg?width=650)
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA ACT WAZALENDO KATIKA VIKAO VYAKE VYA MEI 23-24