MKURUGENZI MTENDAJI TRL ASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MALIPO KINYUME CHA MKATABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vml-j6I259M/VS-6BLCS6aI/AAAAAAAHRh4/OTiLpYWWqDU/s72-c/unnamedb1.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa malipo ya Sh. Bilioni 230 ya mabehewa ya Mizigo yenye kasoro pamoja na kufanya malipo ya mabehewa yote kabla ya kukamilika.
Akitangaza maamuzi hayo ya kusimimishwa kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar es Salaam baada ya ripoti ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi (ambaye sasa ni Waziri wa Afrika Mashariki), Dk. Harrison...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mkurugenzi wa Mtendaji wilaya ya Hanang’ akanusha tuhuma za halmashauri yake kutafuna fedha zaidi ya Tsh Milioni 500
Na woinde shizza wa libeneke la kaskazini blog
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Filex Mabula amesema taarifa zilizotolewa kuwa halmashauri hiyo imetumia vibaya zaidi ya sh508.6 milioni fedha za shule na za kusambaza maji vijijini, zilizotolewa na benki ya dunia, siyo za kweli.
Akizungumza na waandisi wa habari jana, Mabula alisema halmashauri hiyo ilitoa sh225.5 milioni kwenye shule za bweni kwa ajili ya chakula kwa mwaka 2013 hadi 2014 sawa na asilimi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FUh4N1sv_kQ/UIfW2jJ_cGI/AAAAAAAAC-I/3LlBzQeJxdU/s72-c/TZ_Manyara_wilaya.gif)
MKURUGENZI WA MTENDAJI WILAYA YA HANANG' AKANUSHA TUHUMA ZA HALMASHAURI YAKE KUTAFUNA FEDHA ZAIDI YA TSH MILINIONI 500
![](http://4.bp.blogspot.com/-FUh4N1sv_kQ/UIfW2jJ_cGI/AAAAAAAAC-I/3LlBzQeJxdU/s640/TZ_Manyara_wilaya.gif)
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Filex Mabula amesema taarifa zilizotolewa kuwa halmashauri hiyo imetumiavibaya zaidi ya sh508.6 milioni fedha za shule na za kusambaza maji vijijini, zilizotolewa na benki ya dunia, siyo za kweli.
Akizungumza na waandisi wa habari jana, Mabula alisema halmashauri hiyoilitoa sh225.5 milioni kwenye shule za bweni kwa ajili ya chakula kwa mwaka 2013 hadi 2014 sawa na asilimi 281.9 ya fedha zilizoidhinishwa...
9 years ago
Michuzi07 Dec
Nafasi ya kazi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Meneja Kiwanda cha Urafiki asimamishwa kazi
MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
SERIKALI imemsimamisha kazi Meneja wa Kiwanda cha Nguo cha Urafiki, Moses Swai kwa kukiuka maadili ya kazi na kushindwa kushughulikia matatizo ya wafanyakazi.
Uamuzi huo ulitolewa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa baada ya wafanyakazi kugoma kupokea mapendekezo ya awali kati ya wawakilishi wa wafanyakazi, menejimenti na serikali.
Mapendekezo hayo yalihusu nyongeza ya mishahara yao na walitakiwa kuanza kulipwa Januari mwakani,...
10 years ago
Mwananchi18 May
Asimamishwa kazi kwa kumtumia JK ‘meseji’
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7EWSUCxlg4Q/VZwwBzGnGgI/AAAAAAAA3xQ/z4EAJhd_h2c/s72-c/01.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI WA TBL AENDESHA MHADHARA CHUO KIKUU CHA STEFANO MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-7EWSUCxlg4Q/VZwwBzGnGgI/AAAAAAAA3xQ/z4EAJhd_h2c/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JOGStFYDtY4/VZwwHp42MgI/AAAAAAAA3xk/wbTS-rDwTdY/s640/02.jpg)
9 years ago
MichuziWAGENI WOTE WANAOISHI NCHINI NA KUFANYA KAZI KINYUME CHA SHERIA KUKAMATWA - MASAUNI
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Wageni wote wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume cha sheria kukamatwa – Masauni
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni, wakati wa mkutano wa kuzungumzia hatua zinazochukuliwa na...