Meneja Kiwanda cha Urafiki asimamishwa kazi
MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
SERIKALI imemsimamisha kazi Meneja wa Kiwanda cha Nguo cha Urafiki, Moses Swai kwa kukiuka maadili ya kazi na kushindwa kushughulikia matatizo ya wafanyakazi.
Uamuzi huo ulitolewa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa baada ya wafanyakazi kugoma kupokea mapendekezo ya awali kati ya wawakilishi wa wafanyakazi, menejimenti na serikali.
Mapendekezo hayo yalihusu nyongeza ya mishahara yao na walitakiwa kuanza kulipwa Januari mwakani,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Meneja mkuu, Ofisa mwajiri Urafiki wasimamishwa kazi
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Serikali yafunga Kiwanda cha Urafiki
MAULI MUYENJWA NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
SERIKALI imekifunga Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kutokana na mgomo wa wafanyakazi uliotokea jana wakiutaka uongozi kuwalipa malimbikizo ya madai yao ikiwamo mishahara.
Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Paul Makonda, alitangaza kukifunga kiwanda hicho hadi Desemba 7 mwaka huu yatakapotolewa majibu ya kuridhisha kuhusu changamoto zilizosababisha mgomo huo.
Mgomo katika kiwanda hicho ulianza wiki kadhaa zilizopita ambako mkuu huyo wa wilaya aliuagiza...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Urafiki Dar wagoma
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA URAFIKI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vml-j6I259M/VS-6BLCS6aI/AAAAAAAHRh4/OTiLpYWWqDU/s72-c/unnamedb1.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI TRL ASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MALIPO KINYUME CHA MKATABA
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa malipo ya Sh. Bilioni 230 ya mabehewa ya Mizigo yenye kasoro pamoja na kufanya malipo ya mabehewa yote kabla ya kukamilika.
Akitangaza maamuzi hayo ya kusimimishwa kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar es Salaam baada ya ripoti ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi (ambaye sasa ni Waziri wa Afrika Mashariki), Dk. Harrison...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0HjXLX0izgk/Xt0NXsAi-QI/AAAAAAAAk_k/FQmgag1WN9IZEBpd1jXSa9g3z-6Lcr6yACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
KIWANDA CHA KUCHENJUA NA KUTAKASA MADINI CHAANZA KAZI RASMI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0HjXLX0izgk/Xt0NXsAi-QI/AAAAAAAAk_k/FQmgag1WN9IZEBpd1jXSa9g3z-6Lcr6yACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-K1lV8YWCY4w/Xt0NXoVa4cI/AAAAAAAAk_o/ZNDbP8-t24giONzp3eQ9zkkcxWD95BVDwCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lPkvAJbIWg8/Xt0NXfO201I/AAAAAAAAk_g/thUMRctyaLEhNXiMi7PBxgB2ECJorN0dwCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dTqyt9ZPxUk/Xp2BDKUkJ_I/AAAAAAAC3gw/ujNRtThHtdAjUPwWjpaTprQGJYdBVcK1wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)