Kimbisa Mwenyekiti Bodi ya Uhuru Media
![](http://3.bp.blogspot.com/-48Z1t3CEijo/U8aTznMgANI/AAAAAAAABX8/0C5-iZBlJUM/s72-c/+ADAM+Kimbisa+MWENYEKITI+CCM+DODOMA+.jpg)
NA JUMANNE GUDE
KAMATI Kuu ya CCM, imemteua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Alhaj Adam Kimbisa, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Uhuru Media Group.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Siasa na Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye alisema kuwa Kimbisa anachukua nafasi hiyo iliyoachwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahamani Kinana.
Kampuni ya Uhuru Media Group, inachapisha magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani. Pia inamiliki kituo cha redio cha Uhuru FM.
Kimbisa ambaye ni...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Azam Media yamwaga mamilioni Bodi ya Ligi
KAMPUNI ya Azam Media Ltd yenye mkataba wa haki za matangazo ya televisheni ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania, imeikabidhi Bodi ya Ligi (TPL Board) sh milioni 462, ambazo ni...
10 years ago
Habarileo17 Oct
Balozi Maajar Mwenyekiti wa Bodi BOA
BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Afrika Tawi la Tanzania (BOA).
9 years ago
TheCitizen12 Oct
Be positive, Uhuru counsels media
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Balozi Maajar ateuliwa Mwenyekiti bodi ya BOA
BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Benki ya Afrika (BOA) na kuidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Maajar alikuwa mjumbe wa Bodi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7oiJkKBvGRY/VRaK0Z9m85I/AAAAAAAHNwE/0_wRVDI1nZY/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BODI WA KAMPUNI YA LOTUS
![](http://4.bp.blogspot.com/-7oiJkKBvGRY/VRaK0Z9m85I/AAAAAAAHNwE/0_wRVDI1nZY/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Dk. Hussein ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Hatua hiyo imetokana na kuteuliwa kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo, Profesa Mussa Assad, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa NBC, Bwana Pius Tibazarwa alisema Dk Hussein atashika wadhifa wa uenyekiti wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAIMU MKURUGENZI WA TPDC NA MWENYEKITI WAKE WA BODI WATUPWA RUMANDE