Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Maajar Mwenyekiti wa Bodi BOA

BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Afrika Tawi la Tanzania (BOA).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Balozi Maajar ateuliwa Mwenyekiti bodi ya BOA

BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Benki ya Afrika (BOA) na kuidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Maajar alikuwa mjumbe wa Bodi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Maajar Mwenyekiti mpya Vodacom

BODI ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Vodacom Tanzania, imemteua Balozi Mwanaidi Sinare Maajar, kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi hiyo akichukua nafasi ya Peter Kisumo. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa...

 

10 years ago

Michuzi

Ambassador Maajar appointed new BOA Board chairperson

A renowned Lawyer –cum- Diplomat, Ambassador Mwanaidi Sinare Maajar (pictured) has been appointed the new Board of Directors of Bank of Africa Tanzania Limited.
Prior to her new appointment, Mrs. Maajar was serving as a member for Board of Directors of the bank and the appointment has also approved by the Bank of Tanzania.
According a statement issued by the Bank in Dar es Salaam yesterday, Ambassador Maajar who is a legal expert wears the shoes left behind by the late Ambassador Fulgence...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BODI WA KAMPUNI YA LOTUS

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi wa Kampuni Lotus,Bwana Matthieu Boone. alipomtembelea ofini kwake mjini Lembeke, Ubelgiji .

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Juma Mwapachu awa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Airtel Tanzania

Balozi Juma Volter MwapachuKAMPUNI tanzu ya Bharti Airtel inayoongoza katika utoaji wa huduma za simu za mkononi ikifanyakazi katika nchi 20 Asia na Afrika, leo imemteua Balozi Juma Volter Mwapachu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Airtel Tanzania.
Balozi Mwapachu ni Katibu Mkuu aliyepita wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, nafasi aliyoishika kati ya Aprili 2006 na Aprili 2011. Kabla ya uteuzi huu, Mwapachu alikuwa Balozi Mwakilishi Ufaransa na UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa shahada ya...

 

10 years ago

Michuzi

UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kwa mamlaka aliyopewa chini  ya kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009  (Sura ya 203 ya Sheria za Tanzania), amemteua Mhe. Anna  Margareth Abdallah (MB) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Korosho. 
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu  cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009  (Sura ya 203 ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kimbisa Mwenyekiti Bodi ya Uhuru Media


NA JUMANNE GUDE
KAMATI Kuu ya CCM, imemteua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Alhaj Adam Kimbisa, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Uhuru Media Group.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Siasa na Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye alisema kuwa Kimbisa anachukua nafasi hiyo  iliyoachwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahamani Kinana.

Kampuni ya Uhuru Media Group, inachapisha magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani. Pia inamiliki kituo cha redio cha Uhuru FM. 
Kimbisa ambaye ni...

 

10 years ago

Michuzi

Dk. Hussein ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imemteua Dk Kassim Hussein kuwa mwenyekiti wa muda wa bodi ya wakurugenzi.
Hatua hiyo imetokana na kuteuliwa kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo, Profesa Mussa Assad, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . 
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa NBC, Bwana Pius Tibazarwa alisema Dk Hussein atashika wadhifa wa uenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani