Balozi Maajar Mwenyekiti wa Bodi BOA
BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Afrika Tawi la Tanzania (BOA).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Balozi Maajar ateuliwa Mwenyekiti bodi ya BOA
BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Benki ya Afrika (BOA) na kuidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Maajar alikuwa mjumbe wa Bodi...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Balozi Maajar Mwenyekiti mpya Vodacom
BODI ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Vodacom Tanzania, imemteua Balozi Mwanaidi Sinare Maajar, kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi hiyo akichukua nafasi ya Peter Kisumo. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DjOluEK5tMs/VD-WFZKhHgI/AAAAAAAGq4M/C-0XvBwFtRs/s72-c/13906.jpg)
Ambassador Maajar appointed new BOA Board chairperson
![](http://1.bp.blogspot.com/-DjOluEK5tMs/VD-WFZKhHgI/AAAAAAAGq4M/C-0XvBwFtRs/s1600/13906.jpg)
Prior to her new appointment, Mrs. Maajar was serving as a member for Board of Directors of the bank and the appointment has also approved by the Bank of Tanzania.
According a statement issued by the Bank in Dar es Salaam yesterday, Ambassador Maajar who is a legal expert wears the shoes left behind by the late Ambassador Fulgence...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7oiJkKBvGRY/VRaK0Z9m85I/AAAAAAAHNwE/0_wRVDI1nZY/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BODI WA KAMPUNI YA LOTUS
![](http://4.bp.blogspot.com/-7oiJkKBvGRY/VRaK0Z9m85I/AAAAAAAHNwE/0_wRVDI1nZY/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rcdz9LioWeE/VQaBnHnQzRI/AAAAAAAHKpg/09yGkNBiBhk/s72-c/unnamedmm.jpg)
Balozi Juma Mwapachu awa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Airtel Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-rcdz9LioWeE/VQaBnHnQzRI/AAAAAAAHKpg/09yGkNBiBhk/s1600/unnamedmm.jpg)
Balozi Mwapachu ni Katibu Mkuu aliyepita wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, nafasi aliyoishika kati ya Aprili 2006 na Aprili 2011. Kabla ya uteuzi huu, Mwapachu alikuwa Balozi Mwakilishi Ufaransa na UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa shahada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-48Z1t3CEijo/U8aTznMgANI/AAAAAAAABX8/0C5-iZBlJUM/s72-c/+ADAM+Kimbisa+MWENYEKITI+CCM+DODOMA+.jpg)
Kimbisa Mwenyekiti Bodi ya Uhuru Media
NA JUMANNE GUDE
KAMATI Kuu ya CCM, imemteua Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Alhaj Adam Kimbisa, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Uhuru Media Group.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Siasa na Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye alisema kuwa Kimbisa anachukua nafasi hiyo iliyoachwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahamani Kinana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-48Z1t3CEijo/U8aTznMgANI/AAAAAAAABX8/0C5-iZBlJUM/s1600/+ADAM+Kimbisa+MWENYEKITI+CCM+DODOMA+.jpg)
Kampuni ya Uhuru Media Group, inachapisha magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani. Pia inamiliki kituo cha redio cha Uhuru FM.
Kimbisa ambaye ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Dk. Hussein ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Hatua hiyo imetokana na kuteuliwa kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo, Profesa Mussa Assad, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa NBC, Bwana Pius Tibazarwa alisema Dk Hussein atashika wadhifa wa uenyekiti wa...