KAIMU MKURUGENZI WA TPDC NA MWENYEKITI WAKE WA BODI WATUPWA RUMANDE
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Kaimu Mkurugenzi wa TPDC, James Andilile na Mwenyekiti wake wa bodi Michael Mwanda wamepelekwa rumande kwa kosa la kutowasilisha mikataba 26 kwa kamati ya bunge la hesabu za mashirika ya umma PAC, kamati imeagiza wapelekwe huko na hatua zichukuliwe dhidi yao.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 Nov
Breaking Newwzzzzzz: Kaimu MKurugenzi WA TPDC na Mwenyekiti wake wa Bodi watupwa rumande kufuatia kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa PAC.
Kikosi kazi cha Globu ya Jamii kipo kazini kuifuatilia taarifa hii,hivyo tuendelea kupitia pitia hapa jamvini kupata...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s72-c/TPDC%2B(1).jpg)
KAIMU MKURUGENZI WA TPDC NA MWENYEKITI WAKE WA BODI WATOLEWA RUMANDE
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s1600/TPDC%2B(1).jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa TPDC, James Andilile na Mwenyekiti wake wa bodi Michael Mwanda waachiwa wakisubili uamuzi wa kamati ya mahesabu ya Bunge baada ya kuwekwa rumande siku ya jana kwa kosa la kutowasilisha mikataba 26 kwa kamati ya bunge la hesabu za mashirika ya umma PAC, kamati iliagiza wapelekwe huko na hatua zichukuliwe dhidi yao.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s72-c/TPDC%2B(1).jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DAR LAWAACHIA HURU MWENYEKITI WA BODI YA TPDC NA KAIMU MKURUGENZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s1600/TPDC%2B(1).jpg)
9 years ago
Habarileo12 Dec
Wafanyabiashara 21 watupwa rumande kwa kudharau usafi
MKUU wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Mohamed Utaly amewaweka ndani wafanyabiashara 21 kwa saa 6 kwa kukiuka agizo la Rais la kufanya usafi na kufungua maduka kabla ya muda ulioelekezwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5EwsiZSa4eE/XvLqeiT1uBI/AAAAAAALvJA/kxlWQZ6EsZIBq4bA4kcmVddVfFMy21ZhACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20190921-WA0022.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Mwenyekiti wa kitongoji aswekwa rumande
MWENYEKITI wa Kijiji cha Chonde, wilayani Bahi, Dodoma, Daud Nhiti, amelazimika kuagiza uongozi wa kijiji hicho kumweka mahabusu Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ng’ambo, Zebedayo Hemezi kwa tuhuma za kutohudhuria katika...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
JK ateua mkurugenzi TPDC