JK ateua mkurugenzi TPDC
Rais Jakaya Kikwete amemteua Dk James Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Oct
JK ateua mkurugenzi mkuu TPA
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Awadh Massawe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayotajwa kuwa kubwa katika Afrika.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s72-c/TPDC%2B(1).jpg)
KAIMU MKURUGENZI WA TPDC NA MWENYEKITI WAKE WA BODI WATOLEWA RUMANDE
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s1600/TPDC%2B(1).jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa TPDC, James Andilile na Mwenyekiti wake wa bodi Michael Mwanda waachiwa wakisubili uamuzi wa kamati ya mahesabu ya Bunge baada ya kuwekwa rumande siku ya jana kwa kosa la kutowasilisha mikataba 26 kwa kamati ya bunge la hesabu za mashirika ya umma PAC, kamati iliagiza wapelekwe huko na hatua zichukuliwe dhidi yao.
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Rais amteua Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. James P. MATARAGIO kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Kulingana na, Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.
Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
RAIS AMTEUA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI (TPDC)
![](https://media.licdn.com/media/p/5/005/093/0fa/1337f21.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. James P. MATARAGIO kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Kulingana na, Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekaniakiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAIMU MKURUGENZI WA TPDC NA MWENYEKITI WAKE WA BODI WATUPWA RUMANDE
10 years ago
Michuzi19 Dec
RAIS AMTEUA Dkt. James P. MATARAGIO KUWA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI (TPDC)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s72-c/TPDC%2B(1).jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DAR LAWAACHIA HURU MWENYEKITI WA BODI YA TPDC NA KAIMU MKURUGENZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Af6LhTCLeI/VFibSORnDcI/AAAAAAAGvYs/2HbVEFtpExk/s1600/TPDC%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi03 Nov
Breaking Newwzzzzzz: Kaimu MKurugenzi WA TPDC na Mwenyekiti wake wa Bodi watupwa rumande kufuatia kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa PAC.
Kikosi kazi cha Globu ya Jamii kipo kazini kuifuatilia taarifa hii,hivyo tuendelea kupitia pitia hapa jamvini kupata...
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA GE OIL & GAS, FLORENCE ITALY WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE NA MKURUGENZI WA TPDC JAMES MATARAGIO WASHIRIKI