JK ateua mkurugenzi mkuu TPA
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Awadh Massawe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayotajwa kuwa kubwa katika Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi18 Oct
Awadh Massawe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TPA
Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa tukio la kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayosemekana kuwa kubwa katika ukanda huu wa Afrika mara itakapomalizika.
Akihutubia wakati wa tukio hilo, Dkt. Kikwete alisema yeye alishamaliza uteuzi huo na kumwambia Bw. Massawe afuatilie tu barua yake rasmi ya...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Sitta amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu TPA, alalamikiwa kwa ubabaishaji
10 years ago
Mwananchi19 Dec
JK ateua mkurugenzi TPDC
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s72-c/aaz.png)
JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s1600/aaz.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BVTNaVG6aMY/VOHY2k7BgmI/AAAAAAAAa2Y/N8Bld5BJCFc/s72-c/tpa.jpg)
SITTA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TPA MADENI KIPANDE
![](http://3.bp.blogspot.com/-BVTNaVG6aMY/VOHY2k7BgmI/AAAAAAAAa2Y/N8Bld5BJCFc/s640/tpa.jpg)
Pamoja na kuchukua uamuzi huo Mhe. Sitta, ameunda tume ya watu sita itakayokuwa na jukumu la kuchunguza tuhuma zinazomkabilia...
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Rais ateua Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-LhD49zWjTIQ%2FVKhGVaWySZI%2FAAAAAAADUMw%2FbAnFpqcJ7hU%2Fs1600%2F0L7C3313.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya...
9 years ago
StarTV06 Nov
Rais Magufuli ateua Mwanasheria mkuu wa Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli ameanza kazi rasmi mara baada ya kuapishwa, ambapo tayari amemteua John Mcheche Masaju kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Pamoja na uteuzi huo, Rais Dr. Magufuli ameitisha bunge, na kuagiza kukutana November 17, wakati ambapo pia anatarajiwa kuwasilisha jina la atakayemkusudia kuwa waziri mkuu wa serikali ya awamu ya tano.
Mapema jana, Rais Dokta Magufuli ameapishwa rasmi kwenye uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam, tukio...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RYGpccb3QhA/VWNEbBuvQVI/AAAAAAAHZwI/xHG00oEaXrg/s72-c/download.jpg)
JK ATEUA MKUU WA WILAYA MMOJA NA KUHAMISHA WENGINE 10 leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-RYGpccb3QhA/VWNEbBuvQVI/AAAAAAAHZwI/xHG00oEaXrg/s1600/download.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Jul
MHE. OMAR MJENGA AFANYA KIKAO NA MKURUGENZI MKUU NHC BWN. NEHEMIAH MCHECHU NA MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA UJENZI YA DAMAC, BWN.SONIL VOHOR
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCYa-tI_spU/U9VQVqSeuPI/AAAAAAACzwg/E2bIXHalb1Q/s1600/20140727_190328.jpg)