SITTA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TPA MADENI KIPANDE
![](http://3.bp.blogspot.com/-BVTNaVG6aMY/VOHY2k7BgmI/AAAAAAAAa2Y/N8Bld5BJCFc/s72-c/tpa.jpg)
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta (pichani kulia akizungumza na wanahabari leo bandarini) amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), Eng Madeni Shamte Kipande kwa tuhuma za utendaji mbovu, ikiwa ni pamoja na kutokuwepo kwa uwazi kwenye mamlaka hiyo hususani katika michakato ya zabuni mbalimbali zinazotangazwa na mamlaka hiyo.
Pamoja na kuchukua uamuzi huo Mhe. Sitta, ameunda tume ya watu sita itakayokuwa na jukumu la kuchunguza tuhuma zinazomkabilia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Sitta amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu TPA, alalamikiwa kwa ubabaishaji
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Waziri Ummy Mwalimu amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road
Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Diwani Msemo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LFae3M8UZ4/VnqsUHBdCnI/AAAAAAAION4/gu7-ykrKjEo/s72-c/IMG_0724.jpg)
WAZIRI WA AFYA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TAASISI YA OCEAN ROAD DK.DIWAN MSEMO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LFae3M8UZ4/VnqsUHBdCnI/AAAAAAAION4/gu7-ykrKjEo/s640/IMG_0724.jpg)
Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWAZIRI wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk.Diwani Msemo ili kupisha uchunguzi pamoja na mambo mengine ili kubaini mgongano wa kimaslahi ulioathiri utendaji wa taasisi hiyo chini ya kaimu mkurugenzi huyo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
10 years ago
IPPmedia18 Feb
Madeni Kipande, (TPA) acting Director General
IPPmedia
IPPmedia
Madeni Kipande, whom Transport minister Samwel Sitta suspended indefinitely as Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General on Monday, yesterday denied all allegations levelled against him. He said had he indeed routinely violated the ...
Stakeholders praise TPA boss removalDaily News
Tanzania's Port Authority Faces another ScandalThe Maritime Executive
TPA Boss Suspended Pending ProbeAllAfrica.com
Coastweek
all 12
11 years ago
IPPmedia03 Mar
Director General of Tanzania Ports Authority (TPA), Madeni Kipande
IPPmedia
IPPmedia
Tanzania Port Authorities (TPA) is in talks with Weights and Measures Agency (WMA) and Tanzania Revenue Authority (TRA) to restore flow meters at the Dar es Salaam Port despite previous controversies over alleged 'faultiness' of the equipment which led ...
10 years ago
IPPmedia17 Feb
Madeni Kipande, Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General
IPPmedia
IPPmedia
Transport minister Samwel Sitta has suspended – indefinitely – Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General Madeni Kipande over allegations of violating the state-owned agency's procurement procedures. He has appointed Port Manager Awadhi ...
Tanzanian top port official suspended over misconductGlobalPost
TPA seeks partner for new oil terminalAfrica Intelligence (subscription)
TPA boss suspended...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Sitta ‘atimua’ vigogo TRL, amhamisha Kipande TPA
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-9l_7o-7ONpM/VOIzrK-ABVI/AAAAAAAAnSU/tymV5YVnyDU/s1600/Madeni%2BKipande.jpg)
SERIKALI YAMRUDISHA MADENI KIPANDE IDARA KUU YA UTUMISHI KUPANGIWA KAZI NYINGINE
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa RAHCO
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kuhudumia Miundombinu ya Reli (RAHCO) Benhadard Tito (katikati). (Picha na Maktaba).
Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya...