Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SITTA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TPA MADENI KIPANDE

Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta (pichani kulia akizungumza na wanahabari leo bandarini) amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), Eng Madeni Shamte Kipande kwa tuhuma za utendaji mbovu, ikiwa ni pamoja na kutokuwepo kwa uwazi kwenye mamlaka hiyo hususani katika michakato ya zabuni mbalimbali zinazotangazwa na mamlaka hiyo.
Pamoja na kuchukua uamuzi huo Mhe. Sitta, ameunda tume ya watu sita itakayokuwa na jukumu la kuchunguza tuhuma zinazomkabilia...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sitta amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu TPA, alalamikiwa kwa ubabaishaji

Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande baada ya kuwepo malalamiko ya ubabaishaji katika zabuni mbalimbali za mamlaka hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Ummy Mwalimu amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road

Ocean Road Cancer Institute, acting chief executive officer, Diwani Msemo speaks at press conference in Dar es Salaam yesterday. 44,000 Tanzanians are diagnosed with cancer disease every year but only 8800 stands a good chance of being full cured. PHOTO| SALIM SHAO

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Diwani Msemo.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA AFYA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TAASISI YA OCEAN ROAD DK.DIWAN MSEMO.


Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWAZIRI wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk.Diwani Msemo ili kupisha uchunguzi pamoja na mambo mengine ili kubaini  mgongano wa kimaslahi ulioathiri utendaji wa taasisi  hiyo chini ya kaimu mkurugenzi huyo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...

 

10 years ago

IPPmedia

Madeni Kipande, (TPA) acting Director General


IPPmedia
Madeni Kipande, (TPA) acting Director General
IPPmedia
Madeni Kipande, whom Transport minister Samwel Sitta suspended indefinitely as Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General on Monday, yesterday denied all allegations levelled against him. He said had he indeed routinely violated the ...
Stakeholders praise TPA boss removalDaily News
Tanzania's Port Authority Faces another ScandalThe Maritime Executive
TPA Boss Suspended Pending ProbeAllAfrica.com
Coastweek
all 12

 

11 years ago

IPPmedia

Director General of Tanzania Ports Authority (TPA), Madeni Kipande


IPPmedia
Director General of Tanzania Ports Authority (TPA), Madeni Kipande
IPPmedia
Tanzania Port Authorities (TPA) is in talks with Weights and Measures Agency (WMA) and Tanzania Revenue Authority (TRA) to restore flow meters at the Dar es Salaam Port despite previous controversies over alleged 'faultiness' of the equipment which led ...

 

10 years ago

IPPmedia

Madeni Kipande, Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General


IPPmedia
Madeni Kipande, Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General
IPPmedia
Transport minister Samwel Sitta has suspended – indefinitely – Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General Madeni Kipande over allegations of violating the state-owned agency's procurement procedures. He has appointed Port Manager Awadhi ...
Tanzanian top port official suspended over misconductGlobalPost
TPA seeks partner for new oil terminalAfrica Intelligence (subscription)
TPA boss suspended...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta ‘atimua’ vigogo TRL, amhamisha Kipande TPA

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Reli (TRL), Kipallo Kisamfu na watumishi wengine wanne baada ya ripoti ya uchunguzi kuwahusisha na sakata la ununuzi wa mabehewa mabovu 274 na kulisababishia shirika hasara ya Sh230 bilioni.

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YAMRUDISHA MADENI KIPANDE IDARA KUU YA UTUMISHI KUPANGIWA KAZI NYINGINE

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Ndugu Madeni Kipande. Itakumbukwa mnamo tarehe 16 Februari, 2015 Waziri wa Uchukuzi Mh.Samuel Sitta (Mb.),alimsimamisha kazi kwa muda Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Ndugu Madeni Kipande ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali dhidi yake. Tume aliyoiteua Mheshimiwa Waziri kuchunguza suala hili,ilikamilisha kazi yake mnamo tarehe 20 Machi ,2015 na kumkabidhi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa RAHCO

IMG_7092

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kuhudumia Miundombinu ya Reli (RAHCO) Benhadard Tito (katikati). (Picha na Maktaba).

Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani