Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta ‘atimua’ vigogo TRL, amhamisha Kipande TPA

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Reli (TRL), Kipallo Kisamfu na watumishi wengine wanne baada ya ripoti ya uchunguzi kuwahusisha na sakata la ununuzi wa mabehewa mabovu 274 na kulisababishia shirika hasara ya Sh230 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SITTA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TPA MADENI KIPANDE

Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta (pichani kulia akizungumza na wanahabari leo bandarini) amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), Eng Madeni Shamte Kipande kwa tuhuma za utendaji mbovu, ikiwa ni pamoja na kutokuwepo kwa uwazi kwenye mamlaka hiyo hususani katika michakato ya zabuni mbalimbali zinazotangazwa na mamlaka hiyo.
Pamoja na kuchukua uamuzi huo Mhe. Sitta, ameunda tume ya watu sita itakayokuwa na jukumu la kuchunguza tuhuma zinazomkabilia...

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta asimamisha vigogo watano TRL

samuelNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipallo Kisamfu na wengine wanne ili kupisha uchunguzi wa kashfa ya uingizaji wa mabehewa feki ya mizigo yaliyoigharimu Serikali Sh bilioni 230.
Viongozi wengine waliosimamishwa ni Mkuu wa Mitandao, Ngosomwile Ngosomiles, Mhasibu Mkuu, Mbaraka Mchopa, Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Jasper Kisiranga na Meneja Mkuu wa Manunuzi, Ferdinand Soka.
Alitangaza uamuzi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Sitta atoa siku 6 kwa vigogo TRL



NA MOHAMMED ISSA WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, ameipa siku sita Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRL), kuwasilisha taarifa ya mabehewa ya mizigo yanayodaiwa kuanguka ili hatua ziweze kuchukuliwa mara moja. Samuel SittaPia ameitaka Bodi ya TRL, kueleza taratibu zilizotumika kununuliwa mabehewa hayo ambayo yanadaiwa si mapya. Alisema ni lazima watakaobainika kufanya uzembe katika mchakato wa manunuzi ya mabehewa hayo wawajibike. Mbali na hilo, Sitta aliagiza mabehewa 124, ambayo yako...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda ‘atimua’ mjini vigogo wote Uyui

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempa miezi miwili Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Uyui, mkoani Tabora, Khadija Makuani kuhakikisha kuwa watumishi wote wa wilaya hiyo wanahamia Isikizya yalipo makao makuu ya wilaya hiyo.

 

10 years ago

IPPmedia

Madeni Kipande, (TPA) acting Director General


IPPmedia
Madeni Kipande, (TPA) acting Director General
IPPmedia
Madeni Kipande, whom Transport minister Samwel Sitta suspended indefinitely as Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General on Monday, yesterday denied all allegations levelled against him. He said had he indeed routinely violated the ...
Stakeholders praise TPA boss removalDaily News
Tanzania's Port Authority Faces another ScandalThe Maritime Executive
TPA Boss Suspended Pending ProbeAllAfrica.com
Coastweek
all 12

 

11 years ago

IPPmedia

Director General of Tanzania Ports Authority (TPA), Madeni Kipande


IPPmedia
Director General of Tanzania Ports Authority (TPA), Madeni Kipande
IPPmedia
Tanzania Port Authorities (TPA) is in talks with Weights and Measures Agency (WMA) and Tanzania Revenue Authority (TRA) to restore flow meters at the Dar es Salaam Port despite previous controversies over alleged 'faultiness' of the equipment which led ...

 

10 years ago

IPPmedia

Madeni Kipande, Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General


IPPmedia
Madeni Kipande, Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General
IPPmedia
Transport minister Samwel Sitta has suspended – indefinitely – Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General Madeni Kipande over allegations of violating the state-owned agency's procurement procedures. He has appointed Port Manager Awadhi ...
Tanzanian top port official suspended over misconductGlobalPost
TPA seeks partner for new oil terminalAfrica Intelligence (subscription)
TPA boss suspended...

 

9 years ago

Mwananchi

Kimbunga chawakumba mabosi TPA, TRL

Rais John Magufuli ametengua uteuzi na kumsimamisha kazi ya utumishi wa umma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Shaaban Mwinjaka kwa kushindwa kusimamia uwajibikaji katika Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) na Kampuni ya Reli (TRL).

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT:MWIGULU NCHEMBA ATIMUA VIGOGO WALIOKULA BILION 5.7 ZA UJENZI WA MACHINJIO YA KISASA RUVU

Wakati Taifa na Mataifa yakiendelea kutoa pongezi zao kwa serikali ya Rais.J.P.Magufuli kwa speed yake ya kuchapa kazi,Mawaziri wake pia wameendelea kuonesha namna walivyodhamiria kusimamia shughuli za maendeleo ya Nchi yetu.
Hii leo,Mh:Mwigulu Nchemba mwenye dhamana ya Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi amefanya ziara ya siku moja kwenye ranchi ya Taifa ya Ruvu kukagua ujenzi wa majengo ya machinjio ya kisasa ulioanza mwaka 2010.
Katika hali ya kusikitisha na kulazimu kuchukua hatua za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani