Sitta ‘atimua’ vigogo TRL, amhamisha Kipande TPA
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Reli (TRL), Kipallo Kisamfu na watumishi wengine wanne baada ya ripoti ya uchunguzi kuwahusisha na sakata la ununuzi wa mabehewa mabovu 274 na kulisababishia shirika hasara ya Sh230 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BVTNaVG6aMY/VOHY2k7BgmI/AAAAAAAAa2Y/N8Bld5BJCFc/s72-c/tpa.jpg)
SITTA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TPA MADENI KIPANDE
![](http://3.bp.blogspot.com/-BVTNaVG6aMY/VOHY2k7BgmI/AAAAAAAAa2Y/N8Bld5BJCFc/s640/tpa.jpg)
Pamoja na kuchukua uamuzi huo Mhe. Sitta, ameunda tume ya watu sita itakayokuwa na jukumu la kuchunguza tuhuma zinazomkabilia...
10 years ago
Mtanzania17 Apr
Sitta asimamisha vigogo watano TRL
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipallo Kisamfu na wengine wanne ili kupisha uchunguzi wa kashfa ya uingizaji wa mabehewa feki ya mizigo yaliyoigharimu Serikali Sh bilioni 230.
Viongozi wengine waliosimamishwa ni Mkuu wa Mitandao, Ngosomwile Ngosomiles, Mhasibu Mkuu, Mbaraka Mchopa, Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Jasper Kisiranga na Meneja Mkuu wa Manunuzi, Ferdinand Soka.
Alitangaza uamuzi...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-suFd5J5PHgk/VP-sfL5AyMI/AAAAAAAAB6I/NSVP2EcaL1c/s72-c/Sitta.jpg)
Sitta atoa siku 6 kwa vigogo TRL
NA MOHAMMED ISSA WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, ameipa siku sita Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRL), kuwasilisha taarifa ya mabehewa ya mizigo yanayodaiwa kuanguka ili hatua ziweze kuchukuliwa mara moja.
![](http://1.bp.blogspot.com/-suFd5J5PHgk/VP-sfL5AyMI/AAAAAAAAB6I/NSVP2EcaL1c/s1600/Sitta.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Oct
Pinda ‘atimua’ mjini vigogo wote Uyui
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempa miezi miwili Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Uyui, mkoani Tabora, Khadija Makuani kuhakikisha kuwa watumishi wote wa wilaya hiyo wanahamia Isikizya yalipo makao makuu ya wilaya hiyo.
10 years ago
IPPmedia18 Feb
Madeni Kipande, (TPA) acting Director General
IPPmedia
IPPmedia
Madeni Kipande, whom Transport minister Samwel Sitta suspended indefinitely as Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General on Monday, yesterday denied all allegations levelled against him. He said had he indeed routinely violated the ...
Stakeholders praise TPA boss removalDaily News
Tanzania's Port Authority Faces another ScandalThe Maritime Executive
TPA Boss Suspended Pending ProbeAllAfrica.com
Coastweek
all 12
11 years ago
IPPmedia03 Mar
Director General of Tanzania Ports Authority (TPA), Madeni Kipande
IPPmedia
IPPmedia
Tanzania Port Authorities (TPA) is in talks with Weights and Measures Agency (WMA) and Tanzania Revenue Authority (TRA) to restore flow meters at the Dar es Salaam Port despite previous controversies over alleged 'faultiness' of the equipment which led ...
10 years ago
IPPmedia17 Feb
Madeni Kipande, Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General
IPPmedia
IPPmedia
Transport minister Samwel Sitta has suspended – indefinitely – Tanzania Ports Authority (TPA) acting Director General Madeni Kipande over allegations of violating the state-owned agency's procurement procedures. He has appointed Port Manager Awadhi ...
Tanzanian top port official suspended over misconductGlobalPost
TPA seeks partner for new oil terminalAfrica Intelligence (subscription)
TPA boss suspended...
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Kimbunga chawakumba mabosi TPA, TRL
9 years ago
Michuzi05 Jan
NEWS ALERT:MWIGULU NCHEMBA ATIMUA VIGOGO WALIOKULA BILION 5.7 ZA UJENZI WA MACHINJIO YA KISASA RUVU
Hii leo,Mh:Mwigulu Nchemba mwenye dhamana ya Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi amefanya ziara ya siku moja kwenye ranchi ya Taifa ya Ruvu kukagua ujenzi wa majengo ya machinjio ya kisasa ulioanza mwaka 2010.
Katika hali ya kusikitisha na kulazimu kuchukua hatua za...