Pinda ‘atimua’ mjini vigogo wote Uyui
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amempa miezi miwili Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Uyui, mkoani Tabora, Khadija Makuani kuhakikisha kuwa watumishi wote wa wilaya hiyo wanahamia Isikizya yalipo makao makuu ya wilaya hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Sitta ‘atimua’ vigogo TRL, amhamisha Kipande TPA
9 years ago
Michuzi05 Jan
NEWS ALERT:MWIGULU NCHEMBA ATIMUA VIGOGO WALIOKULA BILION 5.7 ZA UJENZI WA MACHINJIO YA KISASA RUVU
Hii leo,Mh:Mwigulu Nchemba mwenye dhamana ya Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi amefanya ziara ya siku moja kwenye ranchi ya Taifa ya Ruvu kukagua ujenzi wa majengo ya machinjio ya kisasa ulioanza mwaka 2010.
Katika hali ya kusikitisha na kulazimu kuchukua hatua za...
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Ziara ya Pinda Uyui Tabora
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tabora kwa ziara ya kikazi mkoani humo Oktoba 11, 20-14.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
10 years ago
Michuzi13 Oct
PINDA AFUNGUA KITUO CHA POLISI WILAYA YA UYUI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/91etWLOcDV20llhI_Lq8qK-Tfiswr16xfCCEDnUgld4vRitecodVl-DzixbqJyhuVCm2_rFD7NEai16HHNfmVjp1x4FIWGw1FCJMfo-wZAuqo3mXnfZGu7G51JE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5299.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/CXeF17U035CloUv7aQ9GTvb49iRtnENwZE1bMLK275HqdSNzEzgqG8_-Bz4EfjJzAtbUwLGqEzA0JMITcXMzIjJpZYH65KhhdT2hUan0i_xz7VE0qnu9drquSus=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5302.jpg)
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani
![Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Tunu-Pinda.jpg)
Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda
NA MWANDISHI WETU, SEOUL
MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.
Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ouXIAQ9uRkg/U-dY2HUmfGI/AAAAAAAF-OU/RZ4QDkPeE34/s72-c/13+(1).jpg)
WANAWAKE WOTE DUNIANI TUNALILIA AMANI - MAMA PINDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ouXIAQ9uRkg/U-dY2HUmfGI/AAAAAAAF-OU/RZ4QDkPeE34/s1600/13+(1).jpg)
Ametoa wito huo leo mchana (Jumapili, Agosti 10, 2014) wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu (keynote speaker) kwenye Mkutano wa Dunia wa siku tano ulioanza leo jijini Seoul, Korea Kusini.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HGmU-en4ZtA/U0rA-Mquj5I/AAAAAAAFagk/jV9iHuOByz4/s72-c/images+(4).jpg)
KARIBUNI WOTE KATIKA KONGAMANO LA BIASHARA MJINI BERLIN, UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGmU-en4ZtA/U0rA-Mquj5I/AAAAAAAFagk/jV9iHuOByz4/s1600/images+(4).jpg)
Tanzania nchini Ujerumani Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”. Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani. Madhumuni makubwa...
10 years ago
VijimamboDKT. SHEIN AONGOZA VIGOGO KUCHANGIA MAENDELEO YA MKOA WA MJINI MAGHARIB, UNGUJA
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Pinda ashiriki Ibada mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakishiriki katika ibada ya kwanza ya Jumapili kwenye kanisa Katoliki la Paulo wa Msalaba mjini Dodoma Juni 14, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakisalimiana na Askofu Mstaafu wa Jimbo la Dodoma, Mhashamu Mathias Isuja baada ya ibada ya kwanza katika kanisa la Paulo wa Msalaba mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanakwaya baada ya kuhudhuria ibada ya kwanza...