Pinda ashiriki Ibada mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakishiriki katika ibada ya kwanza ya Jumapili kwenye kanisa Katoliki la Paulo wa Msalaba mjini Dodoma Juni 14, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakisalimiana na Askofu Mstaafu wa Jimbo la Dodoma, Mhashamu Mathias Isuja baada ya ibada ya kwanza katika kanisa la Paulo wa Msalaba mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanakwaya baada ya kuhudhuria ibada ya kwanza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Jun
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AHUDHURIA IBADA MJINI DODOMA.
![01](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0115.jpg)
![03](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/039.jpg)
![04](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/045.jpg)
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MHOGOLO MJINI DODOMA
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MHOGOLO WA ANGLIKANI MJINI DODOMA
10 years ago
MichuziPINDA ASHIRIKI IBADA YA UZINDUZI WA MAKAO MAKUU YA JIMBO LA MASHARIKI YA KANISA LA MORAVIAN TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
Waziri Mkuu Pinda ashiriki mazishi ya KOMBANI mjini Morogoro
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakitoa heshima za mwisho kwa Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi, Celina Kombani katika sala iliyofanyika kwenye uwanja wa jamhuri Mjini Morogoro Septemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Makamu wa Rais, Dr. Mohammed Ghalib Bilal akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pind katika mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi, Celina Kombani yaliyofanyika Shambani kwa marehemu nje kidogo ya mji wa Morogoro Septemba...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WADAU WA CDA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-LKVmCCwbank/VBNgVFCDV5I/AAAAAAAGjWs/aASAkyx5_U4/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHbAnDLpQNU/VBNgVDQIS7I/AAAAAAAGjW4/ypmMNfG-RAA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T5WadL1qFHo/VBNgVVF1mmI/AAAAAAAGjWw/bV04fO2KbyY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1bW6vZCRWS8/VP1QCkvsasI/AAAAAAAHI1Y/ZdzXKonRDCs/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA SOKO LA MIEMBENI MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1bW6vZCRWS8/VP1QCkvsasI/AAAAAAAHI1Y/ZdzXKonRDCs/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aD3XK0VtJjk/VP1QCoA3III/AAAAAAAHI1c/BHtInixU1Dc/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4wIZp8m8pt8/VP1QEH3C8jI/AAAAAAAHI1o/-jyEqxHjEoA/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 May
Pinda kuzindua maadhimisho wa Wiki ya Elimu mjini Dodoma
Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Elimu yatakayofanyika kitaifa mkoani Dodoma. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Magreth Kinabo.
HASSAN SILAYO- MAELEZO
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda kesho atazindua maadhimisho wa Wiki ya Elimu Mjini Dodoma.
Akizungumza na waandishi wa Habari Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene alisema kuwa Maadhimisho hayo yatakwenda sambamba na...