Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta atoa siku 6 kwa vigogo TRL



NA MOHAMMED ISSA WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, ameipa siku sita Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRL), kuwasilisha taarifa ya mabehewa ya mizigo yanayodaiwa kuanguka ili hatua ziweze kuchukuliwa mara moja. Samuel SittaPia ameitaka Bodi ya TRL, kueleza taratibu zilizotumika kununuliwa mabehewa hayo ambayo yanadaiwa si mapya. Alisema ni lazima watakaobainika kufanya uzembe katika mchakato wa manunuzi ya mabehewa hayo wawajibike. Mbali na hilo, Sitta aliagiza mabehewa 124, ambayo yako...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Sitta asimamisha vigogo watano TRL

samuelNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipallo Kisamfu na wengine wanne ili kupisha uchunguzi wa kashfa ya uingizaji wa mabehewa feki ya mizigo yaliyoigharimu Serikali Sh bilioni 230.
Viongozi wengine waliosimamishwa ni Mkuu wa Mitandao, Ngosomwile Ngosomiles, Mhasibu Mkuu, Mbaraka Mchopa, Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Jasper Kisiranga na Meneja Mkuu wa Manunuzi, Ferdinand Soka.
Alitangaza uamuzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta ‘atimua’ vigogo TRL, amhamisha Kipande TPA

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amemsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Reli (TRL), Kipallo Kisamfu na watumishi wengine wanne baada ya ripoti ya uchunguzi kuwahusisha na sakata la ununuzi wa mabehewa mabovu 274 na kulisababishia shirika hasara ya Sh230 bilioni.

 

11 years ago

Mwananchi

TRL yasitisha safari za treni kwa siku saba

Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha safari za treni ya Reli ya kati kwa siku saba kutokana na kubainika hitilafu katika Daraja la Ruvu.

 

10 years ago

Habarileo

Mabehewa chakavu yang’oa vigogo TRL

Samwel SittaSERIKALI imewasimamisha kazi karibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini (TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu.

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo 5 TRL kupandishwa kizimbani kashfa ya mabehewa

WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel SittaMAOFISA watano wa Serikali, wanatarajiwa kupandishwa kizimbani hivi karibuni, kutokana na kashfa ya uagizaji wa mabehewa 274 kutoka India, huku wengine wakitarajiwa kuchukuliwa hatua za kiutawala.

 

10 years ago

TheCitizen

Sitta halts TRL wagon deal

>Transport minister Samuel Sitta has stopped importation of the remaining 124 passenger and freight wagons supplied by an Indian firm to Tanzania Railway Limited (TRL) pending a report by a taskforce that was mandated to investigate claims that they were defective.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli atoa siku 7 kwa wapigaji

Pg 1>> Awaambia wasipolipa kodi ndani ya muda huo wataisoma namba

>> Afichua serikali kutopeleka fedha za maendeleo Wizarani

>> Amuonya mfanyabiashara anayetaka kumili ufukwe wa Coco

Na Kulwa Mzee , Dar es Salaam

RAIS Dk. John Magufuli, ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliopitish makontena yao bandarini bila kulipa kodi, kujisalimisha wenyewe na kulipa fedha hizo za serikali na watakaokamatwa baada ya muda huo watachukuliwa hatua zaidi za kisheria.

Kauli hiyo ya Rais Magufuli, imekuja siku...

 

10 years ago

Mwananchi

Naibu waziri atoa siku 14 kwa TRA

Naibu Waziri Wizara ya Fedha, Adam Malima ametoa siku 14 kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukaa na wafanyabiashara nchini na kutatua kero zote za kodi zilizopo.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa atoa siku saba kwa H/Monduli

Monduli. Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameipa wiki moja Halmashauri ya Wilaya ya Monduli kuzipatia ardhi kaya 63 za Kijiji cha Nanja, ambazo zimetakiwa kupisha eneo la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wilayani hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani