Magufuli atoa siku 7 kwa wapigaji
>> Awaambia wasipolipa kodi ndani ya muda huo wataisoma namba
>> Afichua serikali kutopeleka fedha za maendeleo Wizarani
>> Amuonya mfanyabiashara anayetaka kumili ufukwe wa Coco
Na Kulwa Mzee , Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliopitish makontena yao bandarini bila kulipa kodi, kujisalimisha wenyewe na kulipa fedha hizo za serikali na watakaokamatwa baada ya muda huo watachukuliwa hatua zaidi za kisheria.
Kauli hiyo ya Rais Magufuli, imekuja siku...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ecV5BTnmMcQ/default.jpg)
RAIS MAGUFULI ATOA SIKU 7 KWA WAFANYABIASHARA WANAOKWEPA KULIPA KODI
9 years ago
StarTV04 Dec
Rais Magufuli atoa siku saba kwa wafanyabiashara wakwepaji kodi
Rais John Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliokuwa wamekwepa kulipa kodi kwa namna yoyote ile kuhakikisha wamelipa malimbikizo yao ndani ya siku hizo badala ya kuendelea kuficha makontena.
Amesema baada ya siku hizo saba kuisha, wafanyabiashara watakaokamatwa hawajalipa kodi kwa mujibu wa taratibu watachukuliwa hatua za kisheria ili kukomesha vitendo hivyo kwa manufaa ya Taifa.
Rais wa awamu ya Tano, Dkt John Magufuli ametoa wito kwa wafanyabiashara kutoka sekta binafsi na...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Naibu waziri atoa siku 14 kwa TRA
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-suFd5J5PHgk/VP-sfL5AyMI/AAAAAAAAB6I/NSVP2EcaL1c/s72-c/Sitta.jpg)
Sitta atoa siku 6 kwa vigogo TRL
NA MOHAMMED ISSA WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta, ameipa siku sita Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRL), kuwasilisha taarifa ya mabehewa ya mizigo yanayodaiwa kuanguka ili hatua ziweze kuchukuliwa mara moja.
![](http://1.bp.blogspot.com/-suFd5J5PHgk/VP-sfL5AyMI/AAAAAAAAB6I/NSVP2EcaL1c/s1600/Sitta.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Lowassa atoa siku saba kwa H/Monduli
9 years ago
Mwananchi25 Dec
DC atoa siku saba kwa Ushirika Mpanda kati
9 years ago
StarTV29 Dec
Waziri Muhongo atoa siku saba kwa TANESCO
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa siku saba kwa shirika la ugavi wa Umeme nchini TANESCO kuunganisha umeme katika kituo cha ushuru wa forodha kilichopo kwenye mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania ambacho kimekuwa kikitegemea umeme kutoka nchini jirani ya Rwanda.
Waziri Muhongo ametoa maagizo hayo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Maafisa wa forodha wa kituo hicho ambao wamemuelezea changamoto ya mara kwa mara ya ukosefu wa umeme...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bYRAjZGTa2o/XtvKFR6rXsI/AAAAAAALs0Y/TPDhWS8crqAnwNeBRpz5TW1lKa-Nkdo_ACLcBGAsYHQ/s72-c/c1745ce8-bc6f-4b37-9580-1b8d8c78e404.jpg)
RC GAGUTI ATOA SIKU 7 KUREJESHWA KWA SHILINGI MILIONI 224.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bYRAjZGTa2o/XtvKFR6rXsI/AAAAAAALs0Y/TPDhWS8crqAnwNeBRpz5TW1lKa-Nkdo_ACLcBGAsYHQ/s640/c1745ce8-bc6f-4b37-9580-1b8d8c78e404.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d10d3d61-3985-48db-8dea-83ef225dda48.jpg)
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...