Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA GE OIL & GAS, FLORENCE ITALY WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE NA MKURUGENZI WA TPDC JAMES MATARAGIO WASHIRIKI

 Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dr. James Mataragio akiongea katika mkutano wa mwaka wa GE Oil & Gas uliofanyika Florence, Italy. Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene (MB) akihutubia wadau mbalimbali wa mafuta na gesi duniana katika mkutano wa mwaka ulioandaliwa na GE Oil & Gas uliofanyika Florence, Italy.
 Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene (MB) akisikiliza kwa makini wakati Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dr. Mataragio (Hayupo pichani) akiongea kuitangaza...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE

 Waziri wa Nishati na Madini  George Simbachawene akifungua mkutano  kwa ajili ya  kujadili nishati endelevu  nchini kwa wote ( Tanzania Sustainable  Energy for  All)  ulioshirikisha  sekta binfasi,  wataamu  kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa nishati nchini.  Mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya   Protea jijini  Dar es Salaam  lengo lake lilikuwa ni kubadilishana uzoefu kwa ajili ya kuboresha  sekta ya umeme  nchini. 

 Meneja   Hifadhi kutoka Shirika la WWF Nchini Dk....

 

10 years ago

Michuzi

RAIS AMTEUA Dkt. James P. MATARAGIO KUWA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI (TPDC)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. James P. MATARAGIO kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).


Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.

Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

KANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo (Mb)--JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA NISHATI NA MADINIKatika gazeti la NIPASHE la Jumatatu tarehe 08 Desemba, 2014 ziliandikwa habari kuhusu Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo (Mb) chini ya kichwa cha habari “Wanaomtetea Muhongo Wajibu haya”. Hoja zilizotolewa katika gazeti hilo zililenga kupotosha ukweli. Wizara inapenda kutoa maelezo kuhusu hoja zilizotolewa kama ifuatavyo:

Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...

 

10 years ago

TheCitizen

TPDC to engage in oil, gas exploration

Tanzania is looking for a better way of benefiting from oil and natural gas.The Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is planning to start participating fully in oil and gas as the government seeks to optimise its position in the industry.

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (Kushoto) na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kulia) wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es salaam kwa ajili ya kufungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa wizara ya nishati na madini unaoanza tarehe 01 hadi tarehe 02, Aprili 2015 wenye lengo la kujadili mafanikio na changamoto katika utendaji kazi wa Wizara pamoja na taasisi zake.Mwenyekiti wa Chama cha...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE, ATEMBELEWA NA BALOZI WA UJERUMANI NCHINI TANZANIA

 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene, wa kwanza kushoto akizungumza na Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Regine Hess  wa pili kushoto aliyefika kujitambulisha ofisini kwa Waziri Simbawene kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo.   Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene, wa kwanza kushoto akifafanua jambo mbele ya Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Regine Hess  wa pili kushoto aliyeambatana na ujumbe wake walipofika...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA MAFUTA NA GESI

Pamoja na kuwepo kwa changamoto za kushuka kwa bei ya mafuta duniani, Tanzania bado imeendelea kuvutia wawekezaji kutoka pande zote za Dunia kuja kuwekeza katika shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi nchini.
Akiongea katika mkutano wa mwaka wa GE Oil & Gas, Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene (MB) aliwaalika wawekezaji wakubwa kutoka pande zote za dunia kutembelea Tanzania na kuona nafasi za uwekezaji zilizopo.
Mkutano huo uliofanyika Florence, Italy uliwakutanisha wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani