WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE, ATEMBELEWA NA BALOZI WA UJERUMANI NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cT_Dbg3aXss/XlU9uOb7C2I/AAAAAAALfVA/Zgp2BOQJKc85CysLpmBdvdIRvwNILR8zgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene, wa kwanza kushoto akizungumza na Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Regine Hess wa pili kushoto aliyefika kujitambulisha ofisini kwa Waziri Simbawene kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo.
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene, wa kwanza kushoto akifafanua jambo mbele ya Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania, Regine Hess wa pili kushoto aliyeambatana na ujumbe wake walipofika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s72-c/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
TANZIA: BABA MZAZI WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s640/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akizungumza na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro, wakati Mkuu huyo wa Jeshi alipoenda kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Waziri huyo, marehemu Boniface Simbachawene Mwataguluvala, Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, leo Aprili 17, 2020. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-3-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-shaeSIGjLZg/XoYERNG0wgI/AAAAAAAC85Q/Of48Ddi6LVY3X519j6rPqIaMdKdIZ5VjgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
9 years ago
MichuziUJUMBE WA UBALOZI WA CHINA NCHINI WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-8.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA TAARIFA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-2-9.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Kushoto) akisisitiza jambo katika Kikao cha kupitia Taarifa ya Mpango na Utekelezaji wa Bajeti...
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MH. HAMAD MASAUNI
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA TEKNOLOJIA YA USALAMA KUTOKA UJERUMANI NA TANZANIA ULIOANZA LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-0-2048x1351.jpg)
KATIBU MKUU CCM AONGOZA VIONGOZI KUHANI MSIBA WA BABA WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s640/PIX-0-2048x1351.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-4-scaled.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI