Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA MAFUTA NA GESI

Pamoja na kuwepo kwa changamoto za kushuka kwa bei ya mafuta duniani, Tanzania bado imeendelea kuvutia wawekezaji kutoka pande zote za Dunia kuja kuwekeza katika shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi nchini.
Akiongea katika mkutano wa mwaka wa GE Oil & Gas, Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene (MB) aliwaalika wawekezaji wakubwa kutoka pande zote za dunia kutembelea Tanzania na kuona nafasi za uwekezaji zilizopo.
Mkutano huo uliofanyika Florence, Italy uliwakutanisha wadau...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA GE OIL & GAS, FLORENCE ITALY WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE NA MKURUGENZI WA TPDC JAMES MATARAGIO WASHIRIKI

 Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dr. James Mataragio akiongea katika mkutano wa mwaka wa GE Oil & Gas uliofanyika Florence, Italy. Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene (MB) akihutubia wadau mbalimbali wa mafuta na gesi duniana katika mkutano wa mwaka ulioandaliwa na GE Oil & Gas uliofanyika Florence, Italy.
 Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. George Simbachawene (MB) akisikiliza kwa makini wakati Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dr. Mataragio (Hayupo pichani) akiongea kuitangaza...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YASHIRIKI KWENYE MKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA KOROSHO MKOANI LINDI LEO

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF limeshiriki kwenye mkutano wa Wadau wa Korosho unaofanyika kwenye Hoteli ya Peace Beach Mkoani Lindi,mkutano huo utakaofanyika kwa Siku mbili mfululizo utahusisha wadau wa Korosho kutoka Tanzania nzima.
Katika Mkutano huo ambao NSSF imepata nafasi ya kutoa  mada imewahimiza wadau hao waweze kujiunga na NSSF ili waweze kupata mafao bora yatolewayo na mfuko huo, Mafao hayo yakiwemo Matibabu bure, Kuumia Kazi, Uzazi kwa Kina mama , Mikopo kwa wanachama...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki maonesho ya 7 ya masuala ya Petroli na Mafuta nchini china

Wadau wa Mafuta na Gesi kutoka nchini Tanzania wakisikiliza kwa makini maelezo ya teknolojia mpya za utafiti wa mafuta na gesi Duniani huko nchini China. Wadau hawa walihudhuria maonesho ya 7 ya kimataifa ya mafuta, gesi na bidhaa zitokanazo na rasilimali hizo yaliyofanyika katika jiji la Dongying nchini China. Maonesho kama haya hufanyika kila mwaka yakilenga kujenga uhusiano baina ya nchi nan chi na pia kubadilishana uzoefu katika sekta ndogo ya mafuta na gesi duniani. Bw. Ibrahim Rutta,...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa wanajamii kuhusiana na Uundwaji wa mkakati wa mawasiliano ya kitaifa wa sekta ya Mafuta na Gesi wafanyika leo Mkoani Mtwara

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantum Mahiza akifungua Mkutano wa wanajamii kuhusiana na Uundwaji wa mkakati wa mawasiliano wa kitaifa wa sekta ya Mafuta na Gesi Nchini, Mkutano ambao umewakusanya wadau mbalimbali wa mikoa ya Lindi na Mtwara, Mkutano huo unafanyika Mkoani Mtwara hivi leo.
Wadau mbalimbali pamoja naKamati za Ulinzi na Usalama Lindi na Mtwara wakifuatilia kwa makini Mjadala unaoendelea hapa Mkoani Mtwara kujusiana na Majadiliano na matarajio ya Sekta ya Mafuta na Gesi, katika uundwaji...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA NCHI ZA AFRIKA KUANZISHA MAFUNZO YA MAFUTA NA GESI KATIKA VYUO VYA UFUNDI STADI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Mohamed Gharib Bilal (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam,Profesa Hudson Nkotagu kuhusu uzalishaji wa Digrii 4 zinazozalishwa chuo kikuu cha Dar es Salaam,wakati wa Mkutano wa Jitihada za Nchi za Afrika za kuzalisha mafuta na Gesi Katika Vyuo vya mafunzo Stad,uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Julias Nyerere Jijini Dar es salaam.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!

1 (1)

Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki  (kushoto) na  Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID)  inafanya miradi mbalimbali ikiwemo  huduma za uuzwaji wa viwanja katika...

 

10 years ago

Michuzi

tanzania yashiriki mkutano wa sadc nchini zimbabwe

Baadhi ya Mawaziri na Manaibu Waziri kutoka wizara za Viwanda na Biashara, Fedha, Miundombinu na Uchukuzi wa Serikali ya Tanzania wakishiriki Mkutano wa Mawaziri wa Kamati Ndogo ya Mtangamano wa Kikanda wa Masuala ya uchumi unaojadili hatua ya utekelezaji wa mpango wa Maendeleo ya Viwanda kwa ajili ya Kanda ya SADC.Mkutano huo umefanyika leo katika hoteli ya Cresta Lodge mjini Harare nchini Zimbabwe. Baadhi ya Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu kutoka wizara ya Viwanda na Biashara,...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania kupata mafunzo Kamisheni ya Mafuta na Gesi Canada

Serikali ya Tanzania inatarajia kutuma wataalam kwenda nchini Canada katika Kamisheni ya Mafuta na Gesi ya jimbo la British Columbia (BC Oil& Gas Commission), ili kupata uelewa zaidi katika masuala ya udhibiti wa mafuta na gesi nchini.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Charles Kitwanga wakati akiongea na watendaji wa Kamisheni ya Mafuta na Gesi ya Jimbo la British Columbia katika Ofisi za kamisheni hiyo zilizo katika mji wa Victoria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani