NSSF YASHIRIKI KWENYE MKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA KOROSHO MKOANI LINDI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5BJXUDqt4w/VeA-fC6ywII/AAAAAAABfv4/LxTl6FpGSIA/s72-c/timu.jpg)
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF limeshiriki kwenye mkutano wa Wadau wa Korosho unaofanyika kwenye Hoteli ya Peace Beach Mkoani Lindi,mkutano huo utakaofanyika kwa Siku mbili mfululizo utahusisha wadau wa Korosho kutoka Tanzania nzima.
Katika Mkutano huo ambao NSSF imepata nafasi ya kutoa mada imewahimiza wadau hao waweze kujiunga na NSSF ili waweze kupata mafao bora yatolewayo na mfuko huo, Mafao hayo yakiwemo Matibabu bure, Kuumia Kazi, Uzazi kwa Kina mama , Mikopo kwa wanachama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-42J_0TeU7nw/Vb2R_cnDOgI/AAAAAAABedc/Q6H6_Ru09Lo/s72-c/MAAFISA%2BGAZETI.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA NANENANE LINDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jvpTmqKbODo/VXBpf_0bWVI/AAAAAAAHcFQ/Fon1t-8qLdQ/s72-c/MMGL0653.jpg)
MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAMALIZIKA LEO JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jvpTmqKbODo/VXBpf_0bWVI/AAAAAAAHcFQ/Fon1t-8qLdQ/s640/MMGL0653.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-o3apguuKJKs/VXBpcNwsNeI/AAAAAAAHcFE/nEBhG5-dnIU/s640/MMGL0640.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bf1TE41kZDA/VW7Z688ZhpI/AAAAAAAHbkY/DUt63yZVaxs/s72-c/MMGL0077.jpg)
MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAENDELEA LEO AICC, JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bf1TE41kZDA/VW7Z688ZhpI/AAAAAAAHbkY/DUt63yZVaxs/s640/MMGL0077.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AbGKTOpxyyg/VW7jCV0Wb3I/AAAAAAAHbow/61JjwVYdIo4/s640/MMGL0315.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U_-ftv91yto/U3JFpizQUOI/AAAAAAAFhZE/tXZ8WO2ZDKE/s72-c/_1.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-U_-ftv91yto/U3JFpizQUOI/AAAAAAAFhZE/tXZ8WO2ZDKE/s1600/_1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HzmzjkfOUys/U3JF2ynC-eI/AAAAAAAFhZc/DkqYXx_CKIY/s1600/_4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1Ng7gedwc5E/U3NRmeoPM5I/AAAAAAAFhkw/AY6x8QJdNHg/s72-c/29.jpg)
MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA PILI JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Ng7gedwc5E/U3NRmeoPM5I/AAAAAAAFhkw/AY6x8QJdNHg/s1600/29.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U-TsN2EjLbg/U3NkHoZMJOI/AAAAAAAFhqc/p7fGqhFshQo/s1600/62.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b7bFBiunpfI/U3SSMmeqDEI/AAAAAAAFhzY/a0XE1eT9rMo/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA TATU JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-b7bFBiunpfI/U3SSMmeqDEI/AAAAAAAFhzY/a0XE1eT9rMo/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wZkjakw4TV4/U3SVLiroIWI/AAAAAAAFh2I/AU_67DdOY4I/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s72-c/MMGL0603.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s640/MMGL0603.jpg)
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa hotuba yake ya Ufunguzi wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulioanza leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Mh. Pinda awewasihi wasomi nchini pamoja na watanzania kuacha fikra ya kusubiri kuajiriwa mara wanapomaliza vyuo badala yake wajiajiri wenyewe ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlTEULL8IKs/VW2j7TY_3qI/AAAAAAAHbQQ/MSea8ArqUQw/s640/MMGL0325.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hOZXX85nCM0/VUsptBIplVI/AAAAAAAHV2g/D5VBVet20Qk/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-07%2Bat%2B11.55.42%2BAM.png)
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Benki ya Maendeleo ya Kilimo yashiriki Nanenane Kitaifa mkoani Lindi
Mmoja wa wafanyakazi wa benki ya Maendeleo ya Wakulima, Geofrey Mtawa akizungumza na moja ya wadau waliotembelea banda lao katika maonyesho ya Nanenane.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania inashiriki maonesho ya kilimo ya Nanenane kitaifa kwa mara ya kwanza mkoani Lindi mwaka huu kwa lengo la kutambulisha huduma zake kwa wadau wake wakuu, wakulima.
Katika maonesho hayo yaliyofunguliwa rasmi jana jumanne na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda, benki hiyo inatoa...