Mkutano wa wanajamii kuhusiana na Uundwaji wa mkakati wa mawasiliano ya kitaifa wa sekta ya Mafuta na Gesi wafanyika leo Mkoani Mtwara
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantum Mahiza akifungua Mkutano wa wanajamii kuhusiana na Uundwaji wa mkakati wa mawasiliano wa kitaifa wa sekta ya Mafuta na Gesi Nchini, Mkutano ambao umewakusanya wadau mbalimbali wa mikoa ya Lindi na Mtwara, Mkutano huo unafanyika Mkoani Mtwara hivi leo.
Wadau mbalimbali pamoja naKamati za Ulinzi na Usalama Lindi na Mtwara wakifuatilia kwa makini Mjadala unaoendelea hapa Mkoani Mtwara kujusiana na Majadiliano na matarajio ya Sekta ya Mafuta na Gesi, katika uundwaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA LEO MCHANA
10 years ago
MichuziWANACHI WA LINDI NA MTWARA WAJADILIANA UWAZI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
9 years ago
VijimamboMH. ISSA USI GAVU AFUNGUA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA SIKU YA BAHARI DUNIANI UNAOFANYIKA KITAIFA MKOANI MTWARA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pt7kPLUDsDw/VTnzf3Q8AhI/AAAAAAAHS1g/qZORA_cu_J8/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtwara yapata Mkakati wa Mawasiliano wa Kukabiliana na Maafa
Mkakati huo umezingatia majanga ambayo yamekuwa yakitokea mara kwa mara na kusababisha madhara makubwa mkoani Mtwara. Majanga hayo ni; Ukame, mafuriko na mlipuko...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
WMA na mkakati wa kuinua sekta ya gesi
MIONGONI mwa majukumu ya Wakala wa Vipimo (WMA)ni kuhakikisha kuwa vipimo vyote vinavyotumika katika sekta za biashara, afya, usalama na mazingira vinakuwa sahihi. Baada ya serikali kufanya mabadiliko ya sera...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Pinda ‘kuinadi’ gesi ya Mtwara, mafuta Qatar
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Planet Core yaangalia fursa ya uwekezaji sekta ya elimu, mafuta na gesi Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Planet Core ya Nchini India hapo Nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Kati kati ni Mwenyekiti wa Timu ya Uongozi wa Planet Core Bwana Deepak Balaji na Kulia ni Rais wa Taasisi hiyo Bwana Dilip Kulmarni.
Na Othman Khamis Ame
Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na Miundo mbinu ya Elimu, Madini, mafuta na Gesi, nishati na mawasiliano ya Planet Core kutoka...