Mtwara yapata Mkakati wa Mawasiliano wa Kukabiliana na Maafa
![](http://1.bp.blogspot.com/-pt7kPLUDsDw/VTnzf3Q8AhI/AAAAAAAHS1g/qZORA_cu_J8/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Ofisi ya waziri Mkuu kupitia Idara ya Uratibu wa Shughuli za maafa imewasilisha Mkakati wa Mawasiliano wa kukabiliana na maafa kwa mkoa wa Mtwara. Mkakati huo umetayarishwa kwa ajili ya kuhakikisha kwamba kunakuwa na Mtiririko unaoeleweka wa taarifa za tahadhari kabla ya maafa, wakati wa maafa na baada ya maafa kutokea.
Mkakati huo umezingatia majanga ambayo yamekuwa yakitokea mara kwa mara na kusababisha madhara makubwa mkoani Mtwara. Majanga hayo ni; Ukame, mafuriko na mlipuko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMkutano wa wanajamii kuhusiana na Uundwaji wa mkakati wa mawasiliano ya kitaifa wa sekta ya Mafuta na Gesi wafanyika leo Mkoani Mtwara
9 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s72-c/bal.jpg)
MKUTANO WA KUKABILIANA NA MAAFA MBALIMBALI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-VZHM7gkm-2c/VNmwB2lH99I/AAAAAAABkmQ/asBxJ-YsiqQ/s640/bal.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CHsyVGqTw4s/VNmwVWsOVcI/AAAAAAABkmY/Unv-Q1yfgAI/s640/bal1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MGrDSqTBxu4/VNmwbYreisI/AAAAAAABkmg/Dzecgs2Sas4/s640/bal%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BZgr4kGdeyo/UxiGwG9PplI/AAAAAAACbsM/ae-DzD__Fdk/s72-c/New+Picture+(7).png)
TASAF NA MKAKATI WA KUKABILIANA NA TATIZO LA LISHE DUNI NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-BZgr4kGdeyo/UxiGwG9PplI/AAAAAAACbsM/ae-DzD__Fdk/s1600/New+Picture+(7).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tfdiyYGHVpE/UxiG7KTAMWI/AAAAAAACbsk/96EirpUQVYs/s1600/New+Picture+(8).png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4k2ZuzsVKpQ/XnL-Iime0HI/AAAAAAALkX4/iCFZEzNcdtwrfIQtAL0HhjNOPzmyK5O8QCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YAPONGEZWA KWA MKAKATI NZURI WA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4k2ZuzsVKpQ/XnL-Iime0HI/AAAAAAALkX4/iCFZEzNcdtwrfIQtAL0HhjNOPzmyK5O8QCLcBGAsYHQ/s640/11.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ho0rRJoH6nQ/XnIDLYPZ7LI/AAAAAAAAHt4/DvXNGlLvu3wPWfm70Aj9VHsJS4MlWXGyACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Serikali ya wilaya ya Iringa imeipongeza kampuni ya Asas kwa mikakati ambayo wanayo katika kuhakikisha wanajilinda na maambukizi ya virusi vya Corona ambavyo vimekuwa tishio kwa maisha ya binadamu.
Akizungumza kwenye kikao cha wadau mkuu wa wilaya ya Iringa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-agvZJ59Wvng/Xn0BensfosI/AAAAAAALlOE/5htIPeaTAgg-jTxdCod8_VHGLfzo5MbVQCLcBGAsYHQ/s72-c/e18598fd-1179-4577-b7b6-28292bff4cef.jpg)
MAJALIWA: KAMATI ZA MAAFA ZIUNGANE NA WARATIBU WA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-agvZJ59Wvng/Xn0BensfosI/AAAAAAALlOE/5htIPeaTAgg-jTxdCod8_VHGLfzo5MbVQCLcBGAsYHQ/s640/e18598fd-1179-4577-b7b6-28292bff4cef.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/ea4389af-340f-4d30-aef7-2aacf6fb469f.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na ugonjwa wa Corona, ambayo yeye ni Mwenyekiti wake, katika kikao kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Machi 25, 2020. (Picha na OIfisi ya Waziri Mkuu).
******************************
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza kamati za Maafa katika ngazi za mikoa na wilaya ziungane na waratibu wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BH9ckKfUtaM/VB0qL_rO8SI/AAAAAAAGkvs/3DA9liSy2vQ/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
Mtwara wapewa Mafunzo ya Maafa
![](http://4.bp.blogspot.com/-BH9ckKfUtaM/VB0qL_rO8SI/AAAAAAAGkvs/3DA9liSy2vQ/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2oC_C4Z6NrA/VB0qMG78B1I/AAAAAAAGkvw/uShw_lfBXLg/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
9 years ago
StarTV14 Sep
Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa
Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.
Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.
mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo katika warsha ya kuwasilisha tathmini...