WANACHI WA LINDI NA MTWARA WAJADILIANA UWAZI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Salum Ally akizungumza na baadhi ya wananchi wa Wilya ya Lindi na Mtwara kuhusiana na matarajio makubwa katika sekta ya Mafuta na Gesi pamoja na uundwaji wa mikakati ya mawasiliano katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Alfred Luanda ambaye alikuwa mgeni rasmi akimwakilisha Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akizungumza katika mkutano uliokutanisha baadhi ya wananchi wa Wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4vD_nUhc8WI/U1qP4mb39vI/AAAAAAAFdCM/tEd9c8kGBhg/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand
Jumla ya Viongozi 19 wa Dini kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara wanatarajia kwenda nchini Thailand kuanzia tarehe 26 Aprili mwaka huu kwa ajili ya ziara ya mafunzo katika masuala ya gesi asilia na mafuta.
Ziara hiyo inatokana na juhudi za serikali katika kuhakisha elimu kuhusu masuala ya gesi asilia na mafuta inatolewa kwa wananchi wa kada mbalimbali ili waweze kufahamu mchakato mzima wa upatikanaji wa gesi asilia na mafuta, faida zake katika nyanja za ...
10 years ago
MichuziMkutano wa wanajamii kuhusiana na Uundwaji wa mkakati wa mawasiliano ya kitaifa wa sekta ya Mafuta na Gesi wafanyika leo Mkoani Mtwara
11 years ago
MichuziNORWAY YADHAMIRIA KUWEKEZA LINDI KATIKA SEKTA YA GESI NA UVUVI
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Lindi wahimizwa kusoma wafaidi gesi, mafuta
10 years ago
Habarileo30 Sep
Uchochezi mpya wa gesi Lindi, Mtwara washtukiwa
KATIKA hatua isiyo ya kawaida Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amezushiwa kuandika meseji za simu za mkononi zenye mwelekeo wa kuwagawa wakazi wa mikoa ya Lindi na Mtwara katika kunufaika na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka mikoa hiyo hadi Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Pinda ‘kuinadi’ gesi ya Mtwara, mafuta Qatar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
Katibu Mkuu Nishati akagua uzalishaji wa gesi asilia Lindi na Mtwara
![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIC-4.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said( mwenye wa pili kulia) akitoa maelekezo kwa msimamizi...
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Planet Core yaangalia fursa ya uwekezaji sekta ya elimu, mafuta na gesi Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Planet Core ya Nchini India hapo Nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Kati kati ni Mwenyekiti wa Timu ya Uongozi wa Planet Core Bwana Deepak Balaji na Kulia ni Rais wa Taasisi hiyo Bwana Dilip Kulmarni.
Na Othman Khamis Ame
Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na Miundo mbinu ya Elimu, Madini, mafuta na Gesi, nishati na mawasiliano ya Planet Core kutoka...