Tanzania yashiriki maonesho ya 7 ya masuala ya Petroli na Mafuta nchini china
![](http://3.bp.blogspot.com/-JdNtlgmOxp4/VBnqCl4JUII/AAAAAAAGkLo/O40Tvf-c5_8/s72-c/New%2BPicture%2B(6).png)
Wadau wa Mafuta na Gesi kutoka nchini Tanzania wakisikiliza kwa makini maelezo ya teknolojia mpya za utafiti wa mafuta na gesi Duniani huko nchini China. Wadau hawa walihudhuria maonesho ya 7 ya kimataifa ya mafuta, gesi na bidhaa zitokanazo na rasilimali hizo yaliyofanyika katika jiji la Dongying nchini China. Maonesho kama haya hufanyika kila mwaka yakilenga kujenga uhusiano baina ya nchi nan chi na pia kubadilishana uzoefu katika sekta ndogo ya mafuta na gesi duniani.
Bw. Ibrahim Rutta,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
MichuziTANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA SANAA,UBUNIFU NA UTAMADUNI NCHINI OMAN
10 years ago
MichuziTANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA MAFUTA NA GESI
Akiongea katika mkutano wa mwaka wa GE Oil & Gas, Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene (MB) aliwaalika wawekezaji wakubwa kutoka pande zote za dunia kutembelea Tanzania na kuona nafasi za uwekezaji zilizopo.
Mkutano huo uliofanyika Florence, Italy uliwakutanisha wadau...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA’ 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHseAp-jPcg/XlUHJieyD4I/AAAAAAALfQY/cTo8TM8yRfsYzSB1z7fYaEWwmSEAsaXAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200225-WA0006.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA KWANZA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RHseAp-jPcg/XlUHJieyD4I/AAAAAAALfQY/cTo8TM8yRfsYzSB1z7fYaEWwmSEAsaXAACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200225-WA0006.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania unaoshiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris yanayofanyika mjini humo kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200225-WA0007.jpg)
Wageni mbalimbali wakipata maelezo kuhusu fursa za bidhaa za kilimo zinazopatikana Tanzania walipotembelea Banda la la Tanzania wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo yanayofanyika jijini...
10 years ago
Michuzi13 Oct
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Oizhxp_Jiz0/VgKw_ItAC3I/AAAAAAAAub0/n_4ClHTQjjQ/s72-c/Pix%2B1.jpg)
UHUSIANO WA MASUALA YA UTAMADUNI KATI YA TANZANIA NA CHINA WAENDELEA KUBORESHWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Oizhxp_Jiz0/VgKw_ItAC3I/AAAAAAAAub0/n_4ClHTQjjQ/s640/Pix%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-exMPvvIjKTQ/VgKw_74kQuI/AAAAAAAAucA/prROruCxbIE/s640/Pix%2B2.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Mar
Alipukiwa na mafuta ya petroli na kufa
WATU watatu wamekufa wilayani Tarime katika mazingira tofauti akiwemo anayeuza mafuta ya petroli kwa vidumu.
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Mafuta ya petroli bei juu
SERIKALI imependekeza kuongeza tozo ya mafuta ya petrol na dizeli kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 100 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la Sh 50 kwa lita.
Akizungumzia kuhusu ongezeko hilo wakati akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 bungeni mjini Dodoma jana, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema mafuta ya taa yanapaa kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 150 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la shilingi 100 kwa lita ili kuondoa uwezekano wa kuchakachua.
“Hatua ya kuongeza tozo ya mafuta ya petroli...