nafasi za ufadhili wa masomo nchini China katika masuala ya mafuta na gesi
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari, baadhi ya Watumishi wa Wizara na wanafunzi waliopata ufadhili wa masomo katika ngazi za Shahada za Uzamivu (Phd) na Uzamili (Masters), katika masuala ya mafuta na gesi nchini China.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Mar
10 years ago
GPLWIZARA YA NISHATI NA MADINI YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI CHINA KWA MWAKA 2015
Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud akizungumza na wanahabari.   Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu ufadhili wa masomo nchini China kwa mwaka 2015. Kulia ni Ofisa Habari wa Maelezo, Fatma Salum.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JdNtlgmOxp4/VBnqCl4JUII/AAAAAAAGkLo/O40Tvf-c5_8/s72-c/New%2BPicture%2B(6).png)
Tanzania yashiriki maonesho ya 7 ya masuala ya Petroli na Mafuta nchini china
![](http://3.bp.blogspot.com/-JdNtlgmOxp4/VBnqCl4JUII/AAAAAAAGkLo/O40Tvf-c5_8/s1600/New%2BPicture%2B(6).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5d8uew5Hqy8/VBnqDf6BuBI/AAAAAAAGkLs/OVP6epbzEUc/s1600/New%2BPicture%2B(7).png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VQy10GLV04Y/U-o-jRsrSaI/AAAAAAAF-_Y/W-WrBb9pOLE/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Waliopata Ufadhili wa masomo China waagwa
Serikali ya China kupitia Wizara ya Nishati na Madini imetoa ufadhili wa nafasi kumi (10) za masomo kwa watanzania katika ngazi ya shahada ya uzamili na uzamivu katika fani ya mafuta na gesi.
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...
9 years ago
Michuzi01 Oct
TAASISI YA UONGOZI YAANDAA WARSHA YA NAFASI YA WADAU WA NGAZI YA MKOA, WILAYA NA HALMASHAURI KATIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s72-c/picha%2B(smz).jpg)
Maafisa waandamizi wakiwa China katika mafunzo ya muda mfupi ya maendeleo ya mafuta na gesi asilia.
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s640/picha%2B(smz).jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/CH2.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Dec
SMZ kutoa kipaumbele masomo ya gesi, mafuta
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itatoa kipaumbele kwa wanafunzi wa Kidato cha Sita kupata mikopo katika Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu kwa wanafunzi watakaopenda kusomea masomo ya rasilimali ya mafuta na gesi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania