Waliopata Ufadhili wa masomo China waagwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-VQy10GLV04Y/U-o-jRsrSaI/AAAAAAAF-_Y/W-WrBb9pOLE/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Serikali ya China kupitia Wizara ya Nishati na Madini imetoa ufadhili wa nafasi kumi (10) za masomo kwa watanzania katika ngazi ya shahada ya uzamili na uzamivu katika fani ya mafuta na gesi.
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWatanzania walionufaika na Ufadhili wa Masomo nchini Japan waagwa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dc2OtqCPRME/U_cms6Sk8zI/AAAAAAAGBWY/XHx-ka4zDdE/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue awaaga Wanafunzi wa Tanzania waliopata Ufadhili wa masomo nchini Uholanzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-dc2OtqCPRME/U_cms6Sk8zI/AAAAAAAGBWY/XHx-ka4zDdE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cg8AOXbNr_E/U_cmtib1TbI/AAAAAAAGBWc/xzKYiCDZg_U/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi20 Mar
11 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
GPLWIZARA YA NISHATI NA MADINI YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI CHINA KWA MWAKA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ru_WFK4iNs4/VAbPWv_2KWI/AAAAAAAGcaw/Mol8z2tLD3A/s72-c/scholarships%2B2014%2Bcopy%2B2.jpg)
HUC YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO YA UFUNDI VETA, VIJANA CHANGAMKIENI
Shirika lisilo la kiserikali la Help for Underserved Communities Inc. (HUC), linatangaza nafasi za ufadhili wa masomo ya ufundi VETA kwa vijana wa Kitanzania. Kozi hizo ni ufundi wa magari, umeme wa magari, udereva magari/pikipiki, ufundi cherehani, hair dressing (urembo), mapambo ya ukumbi na nyinginezo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika hilo, inasema, HUC, itafadhili wanafunzi 15 wa kozi mbalimbali za awali VETA kwa mwaka 2014-2015.
Walengwa ni vijana wa...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
SAIKOLOJIA & UTAFITI: Namna ya kupata ufadhili wa masomo au miradi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-27IfXIZ07-c/VZhFObei3kI/AAAAAAAHm7I/_i9nKicQJB8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
MAKADA WA CCM TAWI LA CHINA WAAGWA LEO JIONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-27IfXIZ07-c/VZhFObei3kI/AAAAAAAHm7I/_i9nKicQJB8/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6DcO8V42-vc/VZhFOcS0YUI/AAAAAAAHm68/fz8-T9KqNzM/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U2miVh3kHHo/VZhFOU5inKI/AAAAAAAHm64/Lg0rENr6B-A/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari, baadhi ya Watumishi wa Wizara na wanafunzi waliopata ufadhili wa masomo katika ngazi za Shahada za Uzamivu (Phd) na Uzamili (Masters), katika masuala ya mafuta na gesi nchini China.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)