Watanzania walionufaika na Ufadhili wa Masomo nchini Japan waagwa
Balozi wa Japani nchini Tanzania Bw. Masaharu Yoshida akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwaaga Watanzania walionufaika na ufadhili wa masomo wa mpango wa ABE Initiative wakati wa hafla fupi ya kuwaaga iliyofanyika nyumbani kwake mapema jana
Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa sita kutoka kulia) na Balozi wa Japan nchini Bw. Masaharu Yoshida (wa tano kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na watanzania wakionufaika na ufadhili wa mpango wa ABE Intiative baada ya hafla fupi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VQy10GLV04Y/U-o-jRsrSaI/AAAAAAAF-_Y/W-WrBb9pOLE/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Waliopata Ufadhili wa masomo China waagwa
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...
10 years ago
Michuzi20 Mar
11 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
GPLWIZARA YA NISHATI NA MADINI YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI CHINA KWA MWAKA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dc2OtqCPRME/U_cms6Sk8zI/AAAAAAAGBWY/XHx-ka4zDdE/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue awaaga Wanafunzi wa Tanzania waliopata Ufadhili wa masomo nchini Uholanzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-dc2OtqCPRME/U_cms6Sk8zI/AAAAAAAGBWY/XHx-ka4zDdE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cg8AOXbNr_E/U_cmtib1TbI/AAAAAAAGBWc/xzKYiCDZg_U/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s72-c/PICHA%2BNO.2.jpg)
SIMBACHAWENE AKABIDHI NYARAKA ZA UFADHILI KWA WATANZANIA 22 KUSOMA MAFUTA, GESI NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZkdRfTF7MBs/VdHpTRt4ymI/AAAAAAAHx0s/lBD1k3hldKw/s640/PICHA%2BNO.2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H64AoDgmkMA/VdHpThrhvOI/AAAAAAAHx00/rbs7TmTOAUU/s640/PICHA%2BNO.1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yIWBVHymBmw/VdHpTpWEJvI/AAAAAAAHx0w/Px2ya11Zlfw/s640/PICHA%2BNO.3.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KUTANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI JAPAN
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ka5zB_0Caac/VT53VargTNI/AAAAAAADlPI/AY6lI_thFoQ/s72-c/2908db1b3e25d12d6e0d2f94885773e1.jpg)
WATANZANIA NCHINI JAPAN WASHEREHEKEA MUUNGANO NA KUMUAGA BALOZI SALOME SIJAONA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ka5zB_0Caac/VT53VargTNI/AAAAAAADlPI/AY6lI_thFoQ/s1600/2908db1b3e25d12d6e0d2f94885773e1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yYXDPY0E47U/VT53WipdNVI/AAAAAAADlPk/fpmC3tFLQME/s1600/43a0b13fe774622117495a725abc4adb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FXB7b0-kB_Q/VT53YlxodBI/AAAAAAADlQE/7jfVIMhdLyg/s1600/65a8b6b73ebdb2b21603c52dc16b61f8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yMAZhGXDaII/VT53SpCk4xI/AAAAAAADlOc/plO56cwf58Q/s1600/071f7e21aca0c5a3421d4b8f00c6a173.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ru_WFK4iNs4/VAbPWv_2KWI/AAAAAAAGcaw/Mol8z2tLD3A/s72-c/scholarships%2B2014%2Bcopy%2B2.jpg)
HUC YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO YA UFUNDI VETA, VIJANA CHANGAMKIENI
Shirika lisilo la kiserikali la Help for Underserved Communities Inc. (HUC), linatangaza nafasi za ufadhili wa masomo ya ufundi VETA kwa vijana wa Kitanzania. Kozi hizo ni ufundi wa magari, umeme wa magari, udereva magari/pikipiki, ufundi cherehani, hair dressing (urembo), mapambo ya ukumbi na nyinginezo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika hilo, inasema, HUC, itafadhili wanafunzi 15 wa kozi mbalimbali za awali VETA kwa mwaka 2014-2015.
Walengwa ni vijana wa...