SAIKOLOJIA & UTAFITI: Namna ya kupata ufadhili wa masomo au miradi
>Hongera ndugu yangu kwa kufika mwaka mpya wa 2014, ni suala la kumshukuru Mungu maana kuna wenzetu wengi ambao walikuwa na shauku ya kuingia mwaka huu lakini wameshindwa, wengine wamepatwa na mikasa mizito iliyoharibu kabisa ndoto zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Utafanikiwaje wakati unaogopa kujaribu?
>Unapozungumza na watu karibu wote duniani, kila mtu atakwambia ninachotaka ni kuwa na maisha bora.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Wanawake wanapolaumiwa kwa kuwatesa wanaume
Imezoeleka kusikia kwamba wanawake ndio wanaonyanyaswa; sasa taarifa mpya ni kwamba idadi ya wanaume wanaonyanyaswa na wanawake nchini inaongezeka.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Tatizo la wanaume dhaifu linavyohatarisha ndoa
>Ni vigumu kufahamu haya, lakini ndio ukweli kuwa kuna kasi ya kuongezeka kwa wanaume dhaifu nchini na ulimwengu kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi22 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Waajiriwa wengi hufa maskini, tafakari ndugu
>Karibu ndugu yangu katika safu hii ambayo imekuwa ni msaada hasa kwa watu wenye ndoto za kubadilika katika maisha.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Leo ni siku mbaya kwa wenye wapenzi wa ovyo
>Leo ni Siku ya Wapendanao ‘Valentine Day’. Lengo hasa la siku hii ni kuonyesha upendo kwa watu au mtu ambaye unampenda kwa dhati.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VQy10GLV04Y/U-o-jRsrSaI/AAAAAAAF-_Y/W-WrBb9pOLE/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Waliopata Ufadhili wa masomo China waagwa
Serikali ya China kupitia Wizara ya Nishati na Madini imetoa ufadhili wa nafasi kumi (10) za masomo kwa watanzania katika ngazi ya shahada ya uzamili na uzamivu katika fani ya mafuta na gesi.
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...
10 years ago
Michuzi20 Mar
9 years ago
Mwananchi08 Nov
SAIKOLOJIA : Je unajua namna ya kutumia muda vizuri?
Zamani niliwahi kusoma kisa cha mfalme mmoja aliyeitwa Mautiktiki. Sikumbuki alikuwa wa taifa gani. Nadhani alikuwa Myunani wengine husema Mgiriki. Mfalme Mautikitiki alikuwa mtu aliyependa kufanya kazi mbalimbali za maendeleo ya watu wa miliki yake.
9 years ago
MichuziWatanzania walionufaika na Ufadhili wa Masomo nchini Japan waagwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania