Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAIKOLOJIA & UTAFITI: Namna ya kupata ufadhili wa masomo au miradi

>Hongera ndugu yangu kwa kufika mwaka mpya wa 2014, ni suala la kumshukuru Mungu maana kuna wenzetu wengi ambao walikuwa na shauku ya kuingia mwaka huu lakini wameshindwa, wengine wamepatwa na mikasa mizito iliyoharibu kabisa ndoto zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Utafanikiwaje wakati unaogopa kujaribu?

>Unapozungumza na watu karibu wote duniani, kila mtu atakwambia ninachotaka ni kuwa na maisha bora.

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Wanawake wanapolaumiwa kwa kuwatesa wanaume

Imezoeleka kusikia kwamba wanawake ndio wanaonyanyaswa; sasa taarifa mpya ni kwamba idadi ya wanaume wanaonyanyaswa na wanawake nchini inaongezeka.

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Tatizo la wanaume dhaifu linavyohatarisha ndoa

>Ni vigumu kufahamu haya, lakini ndio ukweli kuwa kuna kasi ya kuongezeka kwa wanaume dhaifu nchini na ulimwengu kwa ujumla.

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Waajiriwa wengi hufa maskini, tafakari ndugu

>Karibu ndugu yangu katika safu hii ambayo imekuwa ni msaada hasa kwa watu wenye ndoto za kubadilika katika maisha.

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Leo ni siku mbaya kwa wenye wapenzi wa ovyo

>Leo ni Siku ya Wapendanao ‘Valentine Day’. Lengo hasa la siku hii ni kuonyesha upendo kwa watu au mtu ambaye unampenda kwa dhati.

 

11 years ago

Michuzi

Waliopata Ufadhili wa masomo China waagwa

Serikali ya China kupitia Wizara ya Nishati na Madini imetoa ufadhili wa nafasi kumi (10) za masomo kwa watanzania katika ngazi ya shahada ya uzamili na uzamivu katika fani ya mafuta na gesi.
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je unajua namna ya kutumia muda vizuri?

Zamani niliwahi kusoma kisa cha mfalme mmoja aliyeitwa Mautiktiki. Sikumbuki alikuwa wa taifa gani. Nadhani alikuwa Myunani wengine husema Mgiriki. Mfalme Mautikitiki alikuwa mtu aliyependa kufanya kazi mbalimbali za maendeleo ya watu wa miliki yake.

 

9 years ago

Michuzi

Watanzania walionufaika na Ufadhili wa Masomo nchini Japan waagwa

 Balozi wa Japani nchini Tanzania Bw. Masaharu Yoshida akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwaaga Watanzania walionufaika na ufadhili wa masomo wa mpango wa ABE Initiative  wakati wa hafla fupi ya kuwaaga  iliyofanyika nyumbani kwake mapema janaKaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa sita kutoka kulia) na Balozi wa Japan nchini Bw. Masaharu Yoshida (wa tano kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na watanzania wakionufaika na ufadhili wa mpango wa ABE Intiative baada ya hafla fupi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani