NCHIMBI, SOPHIA SIMBA NA KIMBISA WASEMA HAWAKUBALIANI NA UAMUZI WA KAMATI KUU(CC)

Mhe. Emmanuel Nchimbi akitangaza mbele ya wanahabari kwa kutoridhishwa na maamuzi yao kamati kuu(CC). (Picha na Kajunason Blog)
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC-NEC) imetoa orodha ya wagombea watano bila ya jina la Edward Lowassa kuwemo ndani. Lakini katika hali inayoonesha mpasuko, baadhi ya wajumbe wa kamati kuu wamepinga uamuzi huo.Majina yaliyopatikana, ambayo hata hivyo hayajatangazwa rasmi na chama, ni ya Bernard Membe, Dk. John Magufuli, Dk. Asha Rose-Migiro, January Makamba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Jul
Wafuasi wa Lowassa walia na uamuzi wa Kamati Kuu
WAFUASI wa aliyekuwa akiwania uteuzi wa CCM kuwa mgombea urais, Edward Lowassa, ambaye hakupata nafasi ya kuwa miongoni mwa wagombea bora watano, wamepaza sauti zao wakionesha kutoridhishwa kwa jina la mgombea huyo kuchujwa katika vikao vya uamuzi.
11 years ago
Mwananchi19 Aug
Uamuzi mgumu CCM katika Kamati Kuu leo
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete awaongoza viongozi mbali mbali na mamia ya waombolezaji kumfariji Mh. Sophia Simba kwa kufiwa na Mwanae Leeford Simba


10 years ago
Habarileo30 Oct
Simba wasema wameanza ligi
Na Mohamed Akida KOCHA wa Simba Dylan Kerr, amesema ushindi katika mechi dhidi ya Coastal Union, ilikuwa ni muhimu kwao bila kujali kiwango kibovu walichokionesha kwenye mchezo huo ambao walishinda kwa bao 1-0. Kutokana na hali hiyo amesema wameanza sasa rasmi mbio za kuelekea katika ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Dk. Migiro, Sophia Simba tofautianeni na ‘mizigo’
NIANZE makala hii kwa kusema ‘mawaziri wa Wizara ya Sheria na Katiba, na Maendeleo ya Jinsia, Wanawake na Watoto, onyesheni kwa vitendo kuwa nyie ni wanasiasa wachapakazi; na hivyo jitofautisheni...
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Machali alaani uamuzi wa kamati
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni
11 years ago
Michuzi27 Jun
Ukeketaji Wanawake ni Udhalilishaji — Waziri Sophia Simba


