CHADEMA: Hakuna kiongozi msafi CCM
CHAMA cha Demorasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimesema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliondoa kipengele cha uadilifu kwenye tunu za taifa kwa sababu walijua watakosa viongozi kwani hakuna aliye msafi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Oct
Kiongozi CCM atibuana na mgombea Chadema
NA DEBORA SANJA, DODOMA
KATIBU wa Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dodoma, Rashid Morama, juzi alizua hali ya kutoelewana kati yake na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila.
Tukio hilo lilitokea juzi katika kituo cha kupigia kura mjini Dodoma, baada ya Morama kuingia kituoni hapo akiwa na waangalizi wawili wa uchaguzi kutoka nje ya nchi.
Kabla ya hali hiyo kutokea, Kigaila aliingia kituoni hapo...
10 years ago
GPL
NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
11 years ago
GPL
KIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA
10 years ago
GPL
KIONGOZI CHADEMA ADAIWA KUUAWA KWA LIBWATA
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Slaa: Kiongozi anayetaka kuondoka CHADEMA ruksa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa...