Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIONGOZI CHADEMA ADAIWA KUUAWA KWA LIBWATA

Na Gregory Nyankaira, Butiama LICHA ya kukataa katakata kuhusika, mwanamke aliyejulikana kwa jina la Manyaki Iseke (34), mkazi wa Kitongoji cha Mahakamani, Kijiji cha Singu wilayani Butiama, Mara ameingia katika kashfa nzito akidaiwa kumuua mumewe, Khamis Manyama (37) kwa dawa inayodaiwa ni ya kienyeji ‘limbwata’ kwa lengo la kutaka apendwe zaidi. Mkazi wa Kitongoji cha Mahakamani, Kijiji cha Singu wilayani Butiama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Adaiwa kuuawa kwa risasi mgodini

Utata umegubika mazingira ya kifo cha Emmanuel Mtongori (20), mkazi wa Kijiji cha Rung’abure, wilayani Serengeti inayedaiwa kupigwa risasi eneo la Mgodi wa African Barrick North Mara na kufariki dunia akiwa Kituo cha Polisi Nyamongo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kinara wa Nusra adaiwa kuuawa syria

Serikali imesema imemuua Kiongozi wa wapiganaji wa Nusra Front mjini Idlib

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu kuuawa kiongozi wa IS

Dola ya Kiislam Islamic State imesambaza sauti iliyorekodiwa wanayodai ni ya Kiongozi wao.

 

10 years ago

Mtanzania

ACT walia kiongozi wao kuuawa

Samson-MwigambaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.

Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.

Alisema walimkata kichwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani

>Huku Serikali ikikanusha kuhusika katika mauaji ya kiongozi wa upinzani wa Burundi, baadhi ya makundi ya kisiasa yameanza kuingiwa na wasiwasi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya nchi hiyo, wiki moja baada ya Rais Pierre Nkurunziza kusogeza mbele tarehe uchaguzi wa wabunge.

 

10 years ago

Vijimambo

ACT Walia Kiongozi wao Kuuawa......Ni yule Aliyechinjwa Kinyama na Kupikwa kwenye Sufuria kama Nyama ya Kuku

CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.Alisema walimkata kichwa na kukitenganisha kabisa na kiwiliwili...

 

10 years ago

Mtanzania

Diwani Chadema adaiwa kumpiga mjamzito

DiwaniAsifiwe George na Veronica Romwald, Dar es Salaam
DIWANI wa Kata ya Saranga wilayani Kinondoni, Ephraim Kinyafu (CHADEMA) anadaiwa kumshambulia kwa mateke na fimbo, Aisha Mosses, ambaye ni mjamzito akimtuhumu kuwa ni mamluki.
Tukio hilo lilitokea jana katika Mtaa wa Saranga ambako hatua ya uandikishaji wananchi kwa ajili ya kurudia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao awali ulivurugika, lilikuwa likiendelea.
Akizungumza na MTANZANIA shuhuda wa tukio hilo, Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

9 years ago

Mtanzania

Kiongozi CCM atibuana na mgombea Chadema

Benson-KigailaNA DEBORA SANJA, DODOMA

KATIBU wa Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dodoma, Rashid Morama, juzi alizua hali ya kutoelewana kati yake na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila.

Tukio hilo lilitokea juzi katika kituo cha kupigia kura mjini Dodoma, baada ya Morama kuingia kituoni hapo akiwa na waangalizi wawili wa uchaguzi kutoka nje ya nchi.

Kabla ya hali hiyo kutokea, Kigaila aliingia kituoni hapo...

 

11 years ago

GPL

KIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA

Makamu Mwenyekiti Uenezi CHADEMA, Kanda ya Magharibi, Deogratius Liyunga akiwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana (Picha na Editha Karlo). Na Editha Karlo, Kigoma
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani