Kinara wa Nusra adaiwa kuuawa syria
Serikali imesema imemuua Kiongozi wa wapiganaji wa Nusra Front mjini Idlib
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Adaiwa kuuawa kwa risasi mgodini
Utata umegubika mazingira ya kifo cha Emmanuel Mtongori (20), mkazi wa Kijiji cha Rung’abure, wilayani Serengeti inayedaiwa kupigwa risasi eneo la Mgodi wa African Barrick North Mara na kufariki dunia akiwa Kituo cha Polisi Nyamongo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaK7NJ*2n1eOtkenHuDuV39NDwwweRQHd2DrH2ZmCRrTKPhGrCGlhpHAS2KnVRYMWrlhadSo*hW8ObaocagSf0b-/Chadema.jpg?width=650)
KIONGOZI CHADEMA ADAIWA KUUAWA KWA LIBWATA
Na Gregory Nyankaira, Butiama LICHA ya kukataa katakata kuhusika, mwanamke aliyejulikana kwa jina la Manyaki Iseke (34), mkazi wa Kitongoji cha Mahakamani, Kijiji cha Singu wilayani Butiama, Mara ameingia katika kashfa nzito akidaiwa kumuua mumewe, Khamis Manyama (37) kwa dawa inayodaiwa ni ya kienyeji ‘limbwata’ kwa lengo la kutaka apendwe zaidi. Mkazi wa Kitongoji cha Mahakamani, Kijiji cha Singu wilayani Butiama...
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
kundi la Al Nusra Front latangaza vita
Kundi la Al- Nusra Front nchini Syria limepinga mashambulizi ya angani yanayotekelezwa na muungano unaoongozwa na Marekani.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Njombe kinara wa Ukimwi
Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani kitaifa yanafanyika leo katika Mkoa wa Njombe unaoongoza kwa maambukizi ya virusi kwa asilimia 14.8.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SryUG9vl6-04SPIBTICFg*Vm05gwlkAcvu6OgPSJnPgRHA9jWNgqyTwkl0pUrDPbUvmxvT1VQ3QamyV6TKUN-KuWSCGjL9We/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ATISHIWA KUUAWA!
Hamida Hassan Hatari! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadai kutishiwa maisha kwa kutumiwa ujumbe wa WhatsApp na ustaadhi ambaye aliwahi kutangaza kutaka kumuoa, jambo lililosababisha staa huyo kuamua kumfungulia mashtaka. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Wastara alifunguka kuwa kutokana na vitisho anavyotumiwa na ustadhi, hivyo akitua Dar kutoka mikoani atakwenda...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Mez B anusurika kuuawa
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Moses Bushamaga ‘Mez B’ usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita alinusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana maeneo ya Sinza Vatican jijini Dar...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania