Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata kuhusu kuuawa kiongozi wa IS

Dola ya Kiislam Islamic State imesambaza sauti iliyorekodiwa wanayodai ni ya Kiongozi wao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

ACT walia kiongozi wao kuuawa

Samson-MwigambaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.

Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.

Alisema walimkata kichwa na...

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI CHADEMA ADAIWA KUUAWA KWA LIBWATA

Na Gregory Nyankaira, Butiama LICHA ya kukataa katakata kuhusika, mwanamke aliyejulikana kwa jina la Manyaki Iseke (34), mkazi wa Kitongoji cha Mahakamani, Kijiji cha Singu wilayani Butiama, Mara ameingia katika kashfa nzito akidaiwa kumuua mumewe, Khamis Manyama (37) kwa dawa inayodaiwa ni ya kienyeji ‘limbwata’ kwa lengo la kutaka apendwe zaidi. Mkazi wa Kitongoji cha Mahakamani, Kijiji cha Singu wilayani Butiama...

 

10 years ago

Mwananchi

TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani

>Huku Serikali ikikanusha kuhusika katika mauaji ya kiongozi wa upinzani wa Burundi, baadhi ya makundi ya kisiasa yameanza kuingiwa na wasiwasi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya nchi hiyo, wiki moja baada ya Rais Pierre Nkurunziza kusogeza mbele tarehe uchaguzi wa wabunge.

 

10 years ago

Vijimambo

ACT Walia Kiongozi wao Kuuawa......Ni yule Aliyechinjwa Kinyama na Kupikwa kwenye Sufuria kama Nyama ya Kuku

CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.Alisema walimkata kichwa na kukitenganisha kabisa na kiwiliwili...

 

9 years ago

BBCSwahili

Utata wazidi kuhusu mawaziri Zanzibar

Utata umezingira hatima ya mawaziri katika serikali ya visiwani Zanzibar baada ya kuongezewa muda kwa rais wa visiwani kutokana na utata kuhusu matokeo ya uchaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu idadi ya waliouawa DRC

Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, DRC ,Lambert Mende ameambia BBC kwamba takriban watu 11 wakiwemo raia wameuawa mjini Kinshasa tangu vurugu kuanza

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu Heroine iliyonaswa Kenya

Kenya imelalamika kuwa haikupewa taarifa zozote kuhusu dawa za kulevya zilizonaswa na wanajeshi wa Australia wanaoshika doria katika ufuo wa bahari Hindi,ufukweni mwa Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu 'White Widow' Kenya

Uchunguzi umeazishwa Kenya kufuatia madai ya mtoro wa ugaidi Samantha Lewthwaite, maarufu kama 'White Widow' kukwepa polisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu shahidi wa ICC Kenya

Afisaa mmoja wa polisi nchini Kenya amesema kwamba alama za vidole za mtu aliyeuawa na kutumbukizwa ndani ya mto hazionyeshi kuwa za shahidi wa ICC Meshack Yebei aliyepotea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani