Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata kuhusu Heroine iliyonaswa Kenya

Kenya imelalamika kuwa haikupewa taarifa zozote kuhusu dawa za kulevya zilizonaswa na wanajeshi wa Australia wanaoshika doria katika ufuo wa bahari Hindi,ufukweni mwa Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu shahidi wa ICC Kenya

Afisaa mmoja wa polisi nchini Kenya amesema kwamba alama za vidole za mtu aliyeuawa na kutumbukizwa ndani ya mto hazionyeshi kuwa za shahidi wa ICC Meshack Yebei aliyepotea

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu 'White Widow' Kenya

Uchunguzi umeazishwa Kenya kufuatia madai ya mtoro wa ugaidi Samantha Lewthwaite, maarufu kama 'White Widow' kukwepa polisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaharibu Kilo 370 ya Heroine

Serikali ya Kenya imeharibu kilo370 ya heroine iliyonaswa katika meli moja mwezi uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu kuuawa kiongozi wa IS

Dola ya Kiislam Islamic State imesambaza sauti iliyorekodiwa wanayodai ni ya Kiongozi wao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utata wazidi kuhusu mawaziri Zanzibar

Utata umezingira hatima ya mawaziri katika serikali ya visiwani Zanzibar baada ya kuongezewa muda kwa rais wa visiwani kutokana na utata kuhusu matokeo ya uchaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu idadi ya waliouawa DRC

Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, DRC ,Lambert Mende ameambia BBC kwamba takriban watu 11 wakiwemo raia wameuawa mjini Kinshasa tangu vurugu kuanza

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu hali ya mama aliyeasi dini

Mumewe mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kosa la kuasi dini ya kiisilamu, ameambia BBC taarifa kuwa mkewe ataachiliwa ni uvumi tu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Utata kuhusu ukubwa/udogo wa serikali, madaktari na maprofesa

KWA mwendo wa taratibu, Rais John Magufuli ameendelea kukamilisha barala la mawaziri atakalofanya

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujenzi wa reli mpya wazua utata Kenya

Tume ya ardhi imejitetea kuhusu shutuma za kuwanyanyasa wakaazi kwa malipo ya fidia ya ardhi yao itakayotumika kwa mradi huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani