Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata kuhusu hali ya mama aliyeasi dini

Mumewe mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kosa la kuasi dini ya kiisilamu, ameambia BBC taarifa kuwa mkewe ataachiliwa ni uvumi tu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeasi dini 'ameghushi' hati

Mwanasheria wa mwanamke wa Sudan aliyeasi dini ya Kiislam , amesema mteja wake anatuhumiwa kwa kughushi nyaraka za safari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke 'aliyeasi dini' awasili Marekani

Mwanamke wa Sudan aliyetoroka kutoka nchini humo baada ya kunusurika hukumu ya kifo kwa kosa la ‘kuasi dini ya kiislamu’,Meriam Yahia Ibrahim Ishag, amewasili Marekani.

 

11 years ago

CloudsFM

Mwanamke aliyeasi dini akamatwa tena

Taarifa kutoka nchini Sudan zinasema kuwa mwanamke aliyeachiliwa hapo jana kwa kosa la kuasi dini amekamatwa tena.
Mwanamke huyo Meriam Ibrahim, alikuwa amehukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu alikamatwa akiwa na familia yake katika uwanja wa ndege mjini Khartoum.

Watu waliomkata walikuwa wamevalia mavazi ya kiraia ingawa wanaaminika kuwa wanajeshi wa serikali.
Duru zinasema kuwa Meriam Ibrahim aliyejifungulia jela alikuwa anajiandaa kuondoka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeasi dini achiliwa tena

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa madai ya kuasi dini ya kiislam ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa mara ya pili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hali ya watoto ya baadae ni ya utata, wataalamu waonya

Shirika la afya Duniani (WHO) linasema kuwa ''mabadiliko makubwa'' yanahitajika kabla haijafikiwa kiwango cha kutoweza kutatuliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu kuuawa kiongozi wa IS

Dola ya Kiislam Islamic State imesambaza sauti iliyorekodiwa wanayodai ni ya Kiongozi wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu idadi ya waliouawa DRC

Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, DRC ,Lambert Mende ameambia BBC kwamba takriban watu 11 wakiwemo raia wameuawa mjini Kinshasa tangu vurugu kuanza

 

9 years ago

BBCSwahili

Utata wazidi kuhusu mawaziri Zanzibar

Utata umezingira hatima ya mawaziri katika serikali ya visiwani Zanzibar baada ya kuongezewa muda kwa rais wa visiwani kutokana na utata kuhusu matokeo ya uchaguzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu Heroine iliyonaswa Kenya

Kenya imelalamika kuwa haikupewa taarifa zozote kuhusu dawa za kulevya zilizonaswa na wanajeshi wa Australia wanaoshika doria katika ufuo wa bahari Hindi,ufukweni mwa Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani