Mwanamke aliyeasi dini achiliwa tena
Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa madai ya kuasi dini ya kiislam ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa mara ya pili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM25 Jun
Mwanamke aliyeasi dini akamatwa tena
Taarifa kutoka nchini Sudan zinasema kuwa mwanamke aliyeachiliwa hapo jana kwa kosa la kuasi dini amekamatwa tena.
Mwanamke huyo Meriam Ibrahim, alikuwa amehukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu alikamatwa akiwa na familia yake katika uwanja wa ndege mjini Khartoum.
Watu waliomkata walikuwa wamevalia mavazi ya kiraia ingawa wanaaminika kuwa wanajeshi wa serikali.
Duru zinasema kuwa Meriam Ibrahim aliyejifungulia jela alikuwa anajiandaa kuondoka...
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Mwanamke 'aliyeasi dini' awasili Marekani
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Mwanamke aliyeasi dini 'ameghushi' hati
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mwanamke aliyeasi uisilamu akamatwa tena
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Utata kuhusu hali ya mama aliyeasi dini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA7sHKld8Fcrr2r5Tcct2RcmVmhXeD6kZrb4WxaD4w8A-1nECc7rHZqGyz8lWgKF*5D*sHwWSPFT3vCvJuliNGI/MeriamYahiaIbrahimIshag.jpg?width=650)
MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Mwanamke aliyekana dini kuanza kampeni
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Mwanamke aliyebadili dini apata utetezi
11 years ago
BBCSwahili15 May
Mwanamke kunyongwa kwa kuasi dini Sudan