Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke aliyeasi dini achiliwa tena

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa madai ya kuasi dini ya kiislam ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa mara ya pili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

Mwanamke aliyeasi dini akamatwa tena

Taarifa kutoka nchini Sudan zinasema kuwa mwanamke aliyeachiliwa hapo jana kwa kosa la kuasi dini amekamatwa tena.
Mwanamke huyo Meriam Ibrahim, alikuwa amehukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu alikamatwa akiwa na familia yake katika uwanja wa ndege mjini Khartoum.

Watu waliomkata walikuwa wamevalia mavazi ya kiraia ingawa wanaaminika kuwa wanajeshi wa serikali.
Duru zinasema kuwa Meriam Ibrahim aliyejifungulia jela alikuwa anajiandaa kuondoka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke 'aliyeasi dini' awasili Marekani

Mwanamke wa Sudan aliyetoroka kutoka nchini humo baada ya kunusurika hukumu ya kifo kwa kosa la ‘kuasi dini ya kiislamu’,Meriam Yahia Ibrahim Ishag, amewasili Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeasi dini 'ameghushi' hati

Mwanasheria wa mwanamke wa Sudan aliyeasi dini ya Kiislam , amesema mteja wake anatuhumiwa kwa kughushi nyaraka za safari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeasi uisilamu akamatwa tena

Taarifa kutoka nchini Sudan zinasema kuwa mwanamke aliyeachiliwa hapo jana kwa kosa la kuasi dini amekamatwa tena.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu hali ya mama aliyeasi dini

Mumewe mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kosa la kuasi dini ya kiisilamu, ameambia BBC taarifa kuwa mkewe ataachiliwa ni uvumi tu.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA

Meriam Ibrahim akiwa na mumewe Daniel Wani pamoja na mtoto wao wa kwanza. MWANAMKE wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada ya kukaa ubalozi wa Marekani mjini Khartoum, Sudan kwa zaidi ya mwezi mmoja. Meriam na familia yake wameondoka na ndege ya Serikali ya Italia wakisindikizwa na Makamu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Lapo Pistelli....

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyekana dini kuanza kampeni

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuikana dini ya kiislamu ameonekana hadharani nchini Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyebadili dini apata utetezi

Afisa mwandamizi katika wizara ya maswala ya kigeni nchini Sudan amesema kuwa mwanamke aliyepewa hukumu ya kifo kuwachiliwa huru.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke kunyongwa kwa kuasi dini Sudan

Mahakama nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani